Nimevamiwa na nyoka aisee ni hatari

Nimevamiwa na nyoka aisee ni hatari

Nyoka hana time na binadamu, ingekuwa anatuwinda watu wengi sana tungekuwa tumeishaumwa na nyoka, nyoka, nyoka anamuuma binadamu kwa ajili ya defence tu pale anapoona maisha yake yapo hatarini.
Kumbe
 
Hivi viumbe sio huwa vinameza mzima mzima? Huyu wako anang'ata vipande vipande kama fisi?
 
Nilipo fika kwenye kunyofoa minofu ya kuku hapo nikaganda kidogo . Tangu nianze kuangalia vipindi vya wanyama na kusoma makala za wanayama sijawahi sikia au ona nyoka akitafuna minofu.

Ikabidi nije kwenye koment labda mm mshamba kumbe washamba tupo wengi
 
Nilipo fika kwenye kunyofoa minofu ya kuku hapo nikaganda kidogo . Tangu nianze kuangalia vipindi vya wanyama na kusoma makala za wanayama sijawahi sikia au ona nyoka akitafuna minofu.

Ikabidi nije kwenye koment labda mm mshamba kumbe washamba tupo wengi

Tupunguze stress mkuu au hautaki?
 
Kuna eneo linaitwa Nala, Dodoma. Nilimkanyaga huyu nyoka Dec 31 usiku. Nikagundua kumbe binaadamu tunaweza kupaa basi tu uzembe wetu
Cobra
View attachment 2603894
Mzee umenichekesha
Ukaota mabawa ya fasta
 
Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...

Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.

Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.

Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.

Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.

Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno

NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
Asante kwa kutuonya ili tuchukue tahadhari. Lakini na ww chukua tahadhari unapoleta habari /taarifa isiyo na ukweli.
 
Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...

Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.

Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.

Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.

Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.

Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno

NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini


Nenda kwenye vijiwe vya kahawa na uwasimulie hii hadithi ili upewe kahawa na kashata bure.

Ni Lini nyoka akanyofoa mapande ya nyama??
 
Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...

Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.

Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.

Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.

Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.

Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno

NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
NA HILI NALO MKALITAZAME!!!!
 
Unapotembea maporini unapishana sana na nyoka bila kuwaona na wenyewe huwa wamepozi tu wanatutazama nia yetu, kama hatuna time nao, pia hawana noma na sisi. Ni rahisi kuumwa na nyoka mkionana naye face to face kuliko ukiwa hujamuona, maana unapoonana nae mwili wako unareact kwa defence na yeye anajiona yuko hatarini, so ni either akimbie au apambane, busara zetu nyie wote wawili wakati huo ndio zitaleta amani au vita.
 
Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...

Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.

Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.

Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia.
Mkoani nyoka wengi sana...
Mabaki ya kuku tukayafukia.

Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.

Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno

NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
Siku ingine usisahau kuweka ka picha......😊
 
Back
Top Bottom