Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,352
- 5,414
Umekutana na nyoka wa Tambiko (Mzimu?) basi una bahati sanaโฆ.๐ ๐Negotiation na Nyoka ๐๐๐
Umenifurahisha sana Mkuu..
Nimekutana sana na halufu ya wali porini..nimekuja kujuaa baadae kuwa Chatu au Nyoka..
Uzuri kazi za porini zimeishaa..๐๐๐kila nikikumbuka zile hali nasema kweli nilinusirika kumezwa mara nyingi sana.Mida mingine unakuwa na njaa na unasikia wali ule kule.๐๐๐
Moja ya kitu ngumu ni kukutana na Nyoka aliyekuwa anasemekana wa Tambiko kijiji flani.
Uso kwa uso kwenye Chem chem ya maji..Nyoka alikuwa mrefu ,aliondoka taratibu mpaka anaishia..nikaisihiwa pozi nikapiga kelele moja kali sana๐๐๐๐ lakini watu walikuwa mbali.
Lile tukio halifutiki kwenye memories zangu.
