Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,970
- 35,342
We kunywa chai hivyo hivyoUongo sio jambo jema, hivi nyoka ana ng'ata na kunyofoa ama ana swalow...![]()



Sent using Jamii Forums mobile app
We kunywa chai hivyo hivyoUongo sio jambo jema, hivi nyoka ana ng'ata na kunyofoa ama ana swalow...![]()



Hata mimi nimeshangaaDuuuh,hilo nyoka la kunyofoa nyama kabisa sijui ni la aina gani kwani wengi huwa wanameza
Una akili ya kijinga wewe, ulishawhi ona nyoka anakula na kunyofoa kuku manyoya au ndege? Nyoka hana hii desturi na kama uliona kijusi kanafanya hivi basi huyo atakuwa kenge si nyoka......lete habari za uhakika hapa ni JF.Jamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...
Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.
Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.
Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia. Mkoani nyoka wengi sana... Mabaki ya kuku tukayafukia.
Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.
Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno
NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini
Huyu si muongo ila ni zwazwa tu la kitaa.....eti anafananisha nyoka na kenge!Uongo sio jambo jema, hivi nyoka ana ng'ata na kunyofoa ama ana swalow...🤔
Hii ni zaidi ya uji wa futar. Kajuaje kama ni mke wake?Kama nyoka wana mume na mke nyie walimwengu mnapingia nini
Pole sana...nyoka ni kiumbe hatari
Punguza jazba, jamaa kafanya utani tu ili afurahishe wanajukwaaUna akili ya kijinga wewe, ulishawhi ona nyoka anakula na kunyofoa kuku manyoya au ndege? Nyoka hana hii desturi na kama uliona kijusi kanafanya hivi basi huyo atakuwa kenge si nyoka......lete habari za uhakika hapa ni JF.
Wawiliwawili mkuuHii ni zaidi ya uji wa futar. Kajuaje kama ni mke wake?
Jamaa muongo, hakuna nyoka anaenyofoa nyama.Duuuh,hilo nyoka la kunyofoa nyama kabisa sijui ni la aina gani kwani wengi huwa wanameza
Labda watafiti watusaidie kwa hili.Jamaa muongo, hakuna nyoka anaenyofoa nyama.
Hakuna nyoka anakula kwa kunyofoa..acha fix za kijinga. Kadanganye maboyaJamani wanajamvi wazima? Hapa kwangu ninaishi na baadhi ya mifugo,nimewajengea mabanda maalumu uani...
Sasa jana jioni tu kuku wangu alishambuliwa mno,na ndiyo nilikuta nyoka ameshaingia bandani.
Yaani alikuwa ameshamuua jogoo sasa anamnyofoa nyama anakula. Nilikuta kashamla robo tayari na anaendelea kumega mapande ya minofu.
Ama kwa hakika nyoka ni hatari,tulimuua kwa msaada wa kerosene pia. Mkoani nyoka wengi sana... Mabaki ya kuku tukayafukia.
Kuweni makini jamani. Na nasikia nyoka aina ya kobra huwa wanatembea mume na mke, mkewe tulishamuua na huyu ni mumewe.
Huwa anaweza kuingia hata kupitia upenyo mdogo wageti.kuweni makini mno
NB:nyoka huyu alikua anatafuna kabisa minofu aliyonyofoa kwenye mwili wa kuku. Hii inaonesha ata mtoto mdogo anaweza kumla. Tuwe makini