Makorokoro Bondeni
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 540
- 828
Wabongo bwana,dah
ndiyo etUmetumiwa na kademu eti
hahahaaMtumaji ni nani yako? kama mmekutana mtandaoni, unapigwa na watoto wa Sinza pale!
Mkuu hapo unaenda kuliwa mchana kweupee usiseme hukuambiwa na hujiulizi kwann mtu akupe kitu bure kabsa huogopi kwamba utakuja kurwafi siku? Nawew ulivo key unasema uletewe tabora et
ni utapeli jiulize kwann mzigo wako usitue dar ukatue nairobidaah ww acha tu labda ni kwel au
Unapigwa na kitu kizito... Achana naye huyo tapeli kija huu ni wizi wa zamani sana mbona. Mzigo ukitumwa una tracking number unaweza utrack mwabie akupe tracking number kumkomoa. Ila huu ni utapeli unaweza kuachana naye au na wewe umchezee mwambie ela unaituma vipi, then usitume mwambie umetuma yani full kumvuruga...Habari za wakati huu wapendwa,
Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.
Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.
View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
unapigwa huenda ni dume liko hapo makumbusho maana wanaija ndio kazi yaohahahaa
Mkuu hapo unaenda kuliwa mchana kweupee usiseme hukuambiwa na hujiulizi kwann mtu akupe kitu bure kabsa huogopi kwamba utakuja kurwafi siku? Nawew ulivo key unasema uletewe tabora et
ni utapeli jiulize kwann mzigo wako usitue dar ukatue nairobidaah ww acha tu labda ni kwel au
ananiita dona wyne or something ila anacheza hapo hapo wynehahahaa
Matapeli wa Kenya hao wengine wako hapo Arusha watakupigaHabari za wakati huu wapendwa,
Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.
Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.
View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
Kwa hapa naona wewe ndio unapima upepo upige watudaah ww acha tu labda ni kwel au
Mkuu kuna muda mimi walinipa na tracking number,wanakupa na website ya kutrack mzigo wakoUnapigwa na kitu kizito... Achana naye huyo tapeli kija huu ni wizi wa zamani sana mbona. Mzigo ukitumwa una tracking number unaweza utrack mwabie akupe tracking number kumkomoa. Ila huu ni utapeli unaweza kuachana naye au na wewe umchezee mwambie ela unaituma vipi, then usitume mwambie umetuma yani full kumvuruga...