Nimetumiwa mzigo kutoka Uingereza kuja Afrika Mashariki

Attachments

  • img_1_1710363635889.jpg
    img_1_1710363635889.jpg
    6.7 KB · Views: 10
Habari za wakati huu wapendwa,

Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.

Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.

View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
Unapigwa na kitu kizito... Achana naye huyo tapeli kija huu ni wizi wa zamani sana mbona. Mzigo ukitumwa una tracking number unaweza utrack mwabie akupe tracking number kumkomoa. Ila huu ni utapeli unaweza kuachana naye au na wewe umchezee mwambie ela unaituma vipi, then usitume mwambie umetuma yani full kumvuruga...
 
Habari za wakati huu wapendwa,

Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.

Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.

View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
Matapeli wa Kenya hao wengine wako hapo Arusha watakupiga
 
Nakumbuka niliponea chupu chupu kupigwa na mnigeria akidai anataka nimuuzie my Twitter account, nilimpatia details zote akisahau default code activated..
Alipo nizungusha malipo nikawa nacheka mean while alisha ibadlisha hadi handle na login info zote.
Nikajibonyezea batani yangu moja tu .. jamaa akabaki anatoa macho... Hahah
 
Mzigo umetoka UK halafu umetumiwa dollars, hapo huoni ni red flag?
Kama umetuma umepigwa isamehe tu hiyo hela
Na wakutumie kama nani
Kwanini watume Kenya
Hao ni matapeli wa Kenya
 
Unapigwa na kitu kizito... Achana naye huyo tapeli kija huu ni wizi wa zamani sana mbona. Mzigo ukitumwa una tracking number unaweza utrack mwabie akupe tracking number kumkomoa. Ila huu ni utapeli unaweza kuachana naye au na wewe umchezee mwambie ela unaituma vipi, then usitume mwambie umetuma yani full kumvuruga...
Mkuu kuna muda mimi walinipa na tracking number,wanakupa na website ya kutrack mzigo wako
 
Back
Top Bottom