Nimetokea mahabusu kumuona Lema leo

Nimetokea mahabusu kumuona Lema leo

jana kuna mahali nilisema siasa anayoongea lema kwa wengi ni next level....kwa hali ya kawaida mtu unaeza kupinga kwa kuwa tu hujui maana yake.......hakika huyu ndiye aliyethubutu na kwa kukaa huko naamini siku si nyingi haki na usawa vitatitirika kama maji ya mto

Kwa kizazi cha vijana wa leo, sisI TZ tunatia aibu kwa maana uoga umetuzidi hata kushindwa kuhoji Mamlaka ya dola inapata wapi ujasiri wa kuita raia PANYA? Haya majina ya kudharauliana huwa yanatumika zaidi kwa watu waliokwisha tiwa nguvuni (ingawa si sahihi) ila sasa yameanza kutumiwa hata nje kwa watu ambao hawako katika ukurasa mmoja na wakubwa wachache kwa huyu OCD kuamua kuwaita watu PANYA.

Nakuunga mkono Edson kwamba @ this era people are standing to make their voices heard at any means possible, kizazi cha sasa sio kile cha kuogopa kuonyesha hisia zake kwa kuogopa vitisho vya wababe wachache ila kwa TZ naona vijana tumezidisha uoga, kilamtu anamsikilizia mwingine, kuna watu humu jamvini wanaona kupata kashkasi kwa kutetea ama kutaka kusimamia haki au ukweli basi ni ujinga/unsmart na kujitakia kukosa kulala kwenye kitanda kizuri ama kwenda bar jioni kunywa na kuangalia premium league wakienjoy huku wakikunja mkia katikati ya miguu kama mbwa koko, na kubusu masaburi ya wakubwa wachache madhalimu.

WaTZ -No Pain No Gain, kunatanzania nzuri katika haki sawa, uhuru wa kiraia kikatiba na uchumi wa kitajiri wa kitaifa na kwa opportunities za kutosha kwa raia tukiwa na nchi huru na ya haki bila ufisadi na hawa wanaotaka kuwa miungu watu ili tuu waweze kubaka asali na maziwa ya nchi yetu wakizifaidi wao na kuacha wengi katika hali ngumu na za kimaskini kihali na kifikra.

Ni wakati wa kuamka na kusema basi imetosha, ni kipi hasa watatufanyia ambacho binadamu hajafanyiwa tukaogopa namna hii?
 
soon mtasikia amekufa katika mazingira ya kutatanisha. CCM oyee

Bado sijaamini kama hayo maneno yametoka kwenye mdomo wako Bujibuji nakuheshimu sana. Lazima kuna shida zinakuandama kwenye ubongo wako.
 
God bless u lema,time will tell us.
 
Hakuna lolote hapo Lema anataka kucheza sinema ya kihindi ambayo imeisha julikana, KUTAFUTA UMAARUFU HAUTAFUTWI KWA NJIA HIYO
 
Mkuu ulieleta thread hii tunakupongeza na kama ukienda tena Mwambie tuko pamoja na wengine tulishasema kwa mtindo huu serikali ya ccm iongeze magereza maana hayattosha,kingine nashauri watoto wake wasipelekwe tena huko maana kama wanauelewa kidogo wanaweza kuathirika kisaikolojia ,lakini pia sisi wadau tunaposoma watoto wamelia sana inatuongezea uchungu,na ndio maana nasema lazima kitaeleweka tu,siku si nyingi.Mungu msaidie mpiganaji huyu
 
well, ukombozi unahitaji sadaka, asante lema kutuanzishia safari!
 
Hivi Lema alishindwa kesi?!

Wakati tunaondoka alimwambie mke wake "BE STRONG, The purpose of life sio kisses na maisha mazuri. BE STRONG KAMA MKE WA
MARTIN LUTHER CORETTA KING"

Wanaonibeza wacha wanibeze lakini kukaa gerezani kuna maana kubwa sana kwangu.

Nawasilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom