Nimetokea mahabusu kumuona Lema leo

Nimetokea mahabusu kumuona Lema leo

Sarafina aliimba wimbo mmoja ukawa maarufu sana ila nadhani kwa sasa Tz ndio wakati muafaka wa wimbo ule ni .....FREEDOM IS COMING TOMMORROW
 
Sio wote wanaoshitakiwa wana hatia....dhamana ni haki ya mtuhumiwa...unless ni haini.....so Kama wewe unavuta hewa safi shukuru.......haunga mkono kabisa .......wanyonge walipiwe dhamana watoke rumanden..wasubiri hatima Zao mahakamani .....uraiani...
Anza kuwalipia, hujakatazwa..ila sisi Kama jamhuri tunasimamia sheria zilizopo ambazo sote tulikubaliana kuzifuata.
 
"Its better to Die free more than living as a Slave" hali ya Tanzania ni ngumu sana kwa sasa Kiuchumi,Kisiasa na Kijamii ila siku za ukomo wa haya yote zinahesabika. GODBLESS LEMA will be an EXISTING "HERO" 4ever
 
'Wasipoitoa haki tutaitafuta iliko', Pambana Lema Pambana
 
Nimetokea magereza kuu ya mkoa wa Arusha, Kisongo ambako nilikwenda na mke wa Lema na watoto wake. Watoto wake wawili Allbless na Brilliant hawakuruhusiwa kumuona baba yao na wamelia kwa uchungu mkubwa sana wakati askari magereza walipowazuia.

Lema yupo Imara na still msimamo wake uko palepale. Ameona na azidi kujifunza mengi, amewakuta watu wengi wanaolalama kwa kubambikiziwa kesi, amewakuta maskini kibao ambao wamefungwa kwa sababu ya kushindwa kulipa faini ya pesa kidogo na ameomba watu wenye nia njema wachange fedha kuwasaidia watu hao waondoke magereza.

Amewakuta wafungwa wanawaKe wakikosa huduma muhimu kama vitambaa vya kike yaani pedi na hali ni mbaya sana.

Wakati tunaondoka alimwambie mke wake "BE STRONG, The purpose of life sio kisses na maisha mazuri. BE STRONG KAMA MKE WA MARTIN LUTHER CORETTA KING"

Wanaonibeza wacha wanibeze lakini kukaa gerezani kuna maana kubwa sana kwangu.

Nawasilisha.





Umaarufu hauji kijingajinga namna hiyo! kukaa jela pasipo jambo la maana ni sawa na kulazwa hospitali ya rufaa ukitibiwa mafua kwa mtu mweusi. simuungi mkono hata kidogo , anaweza akawa ni mmoja kati ya wale wavivu wa kufikiri!
 
Siyo wote walioko gerezani ni waalifu ila wapo pale kwa sababu ya kusingiziwa uhalifu kama unavyosema. Na wewe naona unaelekea kuwa mhalifu coz unaongea mambo usiyoyajua. Illa huyu Lema hadi anajua wafungwa wanawake wanakosa pedi! jamani kwani sirikali ya magamba ndiyo inahusika kugawa hizo nani hiii? si wanatakiwa kuletew na ndugu zao au? au ndugu zao wanakatazwa kuzileta? Tunaomba mtoa mada siku akirudi kumpa hii Ngoromiko huko gerezani basi aje na hayo majibu[/QUOTE]

Mkuu Magereza kama Taasisi, inapaswa kuwahudumia wafungwa na mahabusu kwa kila kitu kuanzia chakula mapaka dawa ya meno achilia mabli hizo pedi. Pamoja kuwa wapo kifungoni /mahabusu lakini haki msingi za binadamu ni lazima zitekelezwe ikiwa ni pamoja Nguo Chakula, Malazi . Tatizo letu ni MFUMO na jinsi tunavyowachukulia wafungwa/mahabusu, ni sawa wana makosa na wengine wamebambikiwa lakini ile ni taasisi, wafungwa wanashirikishwa katika miradi ya uzalishaji mali, bajeti ya Serikali inatenga fungu kwaajili ya magereza, tatizo usimamizi na uvunjwaji wa haki za binadamu ndio unatufikisha hapo kwamba familia zilete vitu hivyo.
 
Nimetokea magereza kuu ya mkoa wa Arusha, Kisongo ambako nilikwenda na mke wa Lema na watoto wake. Watoto wake wawili Allbless na Brilliant hawakuruhusiwa kumuona baba yao na wamelia kwa uchungu mkubwa sana wakati askari magereza walipowazuia.

Lema yupo Imara na still msimamo wake uko palepale. Ameona na azidi kujifunza mengi, amewakuta watu wengi wanaolalama kwa kubambikiziwa kesi, amewakuta maskini kibao ambao wamefungwa kwa sababu ya kushindwa kulipa faini ya pesa kidogo na ameomba watu wenye nia njema wachange fedha kuwasaidia watu hao waondoke magereza.

Amewakuta wafungwa wanawaKe wakikosa huduma muhimu kama vitambaa vya kike yaani pedi na hali ni mbaya sana.

Wakati tunaondoka alimwambie mke wake "BE STRONG, The purpose of life sio kisses na maisha mazuri. BE STRONG KAMA MKE WA MARTIN LUTHER CORETTA KING"

Wanaonibeza wacha wanibeze lakini kukaa gerezani kuna maana kubwa sana kwangu.

Nawasilisha.

Msiba wa kujitakia hauna kilio. Jamaa alivyo na akili fupi anadhani umaarufu wa kisiasa unatafutwa hivyo! Anadhani Mandela ndivyo alivyojipatia umaarufu kwa ujinga kama huu! Natamani ahukumiwe kabisa halafu ahamishiwe magereza yenye wanaume!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom