Nimetokea mahabusu kumuona Lema leo

Nimetokea mahabusu kumuona Lema leo

Your very strong Lema...kama wewe wapo wachache lakini Utafika tupo pamoja wanaharakati wa kweli..... Kuwa imara tupo pamoja!
 
This is just ridiculous..sasa tuwachangie wahalifu waloshindwa kulipa faini? What kind of nonsense is this?
 
Ujumbe wa Godbless Lema (Mbunge wa Arusha Mjini) kwa mke wake leo wakati alipomtembelea katika gereza la Kisongo Mkoani Arusha "BE STRONG, The purpose of life sio kisses (busu) na maisha mazuri. BE STRONG KAMA MKE WA MARTIN LUTHER CORETTA KING,Wanaonibeza wacha wanibeze lakini kukaa gerezani kuna maana kubwa sana kwangu." Nini maoni yako?

Source; Stephen Owawa facebook page

Sasa si ujumbe kwa mke wake, kuna maoni gani tena? maoni yalisha toka katika ujumbe aliouacha kwa wapambe wake...
 
This is just ridiculous..sasa tuwachangie wahalifu waloshindwa kulipa faini? What kind of nonsense is this?

Sio wote wanaoshitakiwa wana hatia....dhamana ni haki ya mtuhumiwa...unless ni haini.....so Kama wewe unavuta hewa safi shukuru.......haunga mkono kabisa .......wanyonge walipiwe dhamana watoke rumanden..wasubiri hatima Zao mahakamani .....uraiani...
 
This is just ridiculous..sasa tuwachangie wahalifu waloshindwa kulipa faini? What kind of nonsense is this?

Au kwa kuwa mshitakiwa wa kwanza wa kesi ya mauwaji....kupewa dhamana....Ditopile Mzuzuri alipewa dhamana unafikiri kila mtu Ana fursa hiyo? Au kama change?
 
Wacha aendelee kukaa huko jela kama alivyotaka.
Pale ndipo panapomstahili yeye na wahalifu wenzake.
Nadhani alikuwa amewa-miss sana machalii waliofungwa siku nyingi....sijui walimpokeaje.

Arusha is a better place without Lema!
Arusha bila walamba viatu wa CCM inawezekani tutawatoa hao machalii walioonewa kwa kukosa rushwa na kuwasweka mafisadi na vibaraka wao
 
Homeboy ndo kitu gani? Sitaki kuhusishwa na homeboy kanjanja wa kisiasa kama Godbless. Mrudisheni shule kwanza huyo dogo wenu, anatutia aibu hapa Arusha.

Ushahidi upo wa umasaburi wako na sababu za jina hilo. Lakini huna chembe ya kubadirisha mwelekeo wa upepo sana sana utasombwa na tufani usijitambulishe na Arusha kwani hakuna punguani wa aina yako
 
hawa chama tawala hata goli la mkono wa mungu hawalioni, impact ya hii issue si ndogo kisiasa na watajuta tu.. Lema pambana tupo nyuma yako wanamageuzi wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom