NaimaOmari
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 801
- 46
Mod Naomba Ufunge Hii Mada Kwa Sababu Inaniletea Taabu Kidogo Katika Maisha Ya Kweli Naomba Radhi Kwa Usumbufu Wowote Uliotokea Kwa Baadhi Ya Watu
Hiyo Sio Tungo Ya Kweli Nimeuliza Tu Ili Kuleta Changamoto
Shy .. one thing you should understand ni kwamba you are a human being na you are prone to mistakes ..hamna alokamilika ila Mungu peke ... kuna watu wanamadhambi makubwa zaidi hata hapa JF wapo ila hatujuani ndiyo sababu .
I used to think kwamba people here are the very best of advisers but what i can read from this post ni kwamba there is a lot of hatred or dont care attitudes .. why i dont know .. may be its personal sijui ... if one is really in a serious situation here anaweza kukomit suicide immediately ... is this our goal .. what i dont understand ni kwamba are we having fun here or we are for real standing out for each other in order to make a better environment for all of us especially the JF family "if it exists"
Shy ... guess you have also taken this personal .. ujue kwamba duniani kuna watu wa aina mbali mbali na hatufanani ... some people will always give you good advise others wont ... likewise kuna watu watakupenda na wengine watakuchukia for good reason or for no reason at all
Pick what is best for you here and sweep the others under the carpet but DONT GIVE UP