Naitwa baba Zai wa Buguruni Dar, nimeoa na tumebahatika kupata mtoto mmoja. Kutokana na mke wangu kuwa anafanya kazi, tulilazimika kutafuta mfanyakazi wa ndani.
Mke wangu amekuwa akirudi kutoka kazini usiku sana na mimi huwa narudi nyumbani saa nane mchana. Nimejikuta muda mwingi nakuwa na mwanangu na hausi geli tu ambapo mke wangu tumekuwa tukiwa na muda mzuri wa kuvinjari siku moja tu kwa wiki.
Nisiwafishe hausi geli huyu alitokea kunipagawisha kutokana na umbile lake, sijui ni tamaa au nini lakini nikajikuta nimezama katika dimbwi la mahaba kiasi cha kufikia hatua ya kumchukulia kama mke wangu kwasababu huduma nyingi alikuwa akinipatia.
Kinachonipa wakati mgumu sasa ni kwamba, mke wangu anahisi kuwa natembea na huyu mfanyakazi wangu na kwamba ikibaini hivyo kwa ndugu jamaa na marafiki itakuwa ni aibu. Mbaya zaidi hausi geli huyo sasa anadai ana mimba yangu. Hebu naomba unishari nifanye?
Yaani wewe umejiunga hapa, kumsuta jamaa tu? Yeye anahitaji ushauri na sio kusutwaHufai katika jamii ya Tanzania, hata mtoto waka atakuzarau kama baba, hawezi kukupa heshima tena, kwani umemdhalilisha mama yake!
Kutembea na housegal?????!!!!!!!!!!! Aibuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!
Naitwa baba Zai wa Buguruni Dar, nimeoa na tumebahatika kupata mtoto mmoja. Kutokana na mke wangu kuwa anafanya kazi, tulilazimika kutafuta mfanyakazi wa ndani.
Mke wangu amekuwa akirudi kutoka kazini usiku sana na mimi huwa narudi nyumbani saa nane mchana. Nimejikuta muda mwingi nakuwa na mwanangu na hausi geli tu ambapo mke wangu tumekuwa tukiwa na muda mzuri wa kuvinjari siku moja tu kwa wiki.
Nisiwafishe hausi geli huyu alitokea kunipagawisha kutokana na umbile lake, sijui ni tamaa au nini lakini nikajikuta nimezama katika dimbwi la mahaba kiasi cha kufikia hatua ya kumchukulia kama mke wangu kwasababu huduma nyingi alikuwa akinipatia.
Kinachonipa wakati mgumu sasa ni kwamba, mke wangu anahisi kuwa natembea na huyu mfanyakazi wangu na kwamba ikibaini hivyo kwa ndugu jamaa na marafiki itakuwa ni aibu. Mbaya zaidi hausi geli huyo sasa anadai ana mimba yangu. Hebu naomba unishari nifanye?
Yaani wewe umejiunga hapa, kumsuta jamaa tu? Yeye anahitaji ushauri na sio kusutwa
lolllllllll Roselyne kwakweli sikufichi wala sijaribu kukuficha...ningependa kujua nini hatma ya stori kama hizi wajameni...mnaozileta mngekuwa mnatupa na updates...wengine huwa tunakabwaga na umbea...usioisha..lol
lolllllllll Roselyne kwakweli sikufichi wala sijaribu kukuficha...
napenda post zake... and ur straightforwardness (long word ya? )
Mh, hapa kuna kitu mnadevelop!lolllllllll Roselyne kwakweli sikufichi wala sijaribu kukuficha...
napenda post zako... and ur straightforwardness (long word ya? )
Kama ana ujauzito hizo ni habari njema and you have to share these fantastic news with your beloved wife! Congratulations.
Yaani wewe umejiunga hapa, kumsuta jamaa tu? Yeye anahitaji ushauri na sio kusutwa