Rubi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,615
- 326
Pole sana Mkuu, usiwe na wasiwasi Chadema watakupeleka India ukasome ndio upambanaji hakuna haja ya kulia lia
hahaha :lol::A S 465::lol::lol: mimi nasindwa hata kuhukumu au kulaumu sielewi maana ya kugoma ni nini maana cha zaidi nasikia uhribufu wa mali kumwagia chakula michanga kuwachapa viboko wenzao wanaoingia madarasani kujisomea na mengine neyo yanayoudhi. hivi ndio maana ya migomo na kudai haki kwa kufanya uharibifu? hapohapo wakati wengine wanagoma wengine wa EAC wanasoma je soko la ajira hapo baadaye litakuwa na uwiano wakati kutwa kucha ni migomo na uharibifu.