Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Pole sana ila kwanini umeogopa kuja na ID Yako ya zamani? Unanipa mashaka kama kweli wewe ni mpigania haki au bendera.
Si vibaya kuja na ID mpya ila hata mimi nashaka kwanini kwenye haki yako uwe Muoga? hapa ndio panaponitia wasiwasi kwani uliyoyafanya wewe ni kuua mtu au? Mi nadhani kama vyombo vya hbr vinatoa hbr hizi wewe uliyeathirika unajificha nani atakusaidia? Je leo Wakija TBC kwa kutaka uwaeleze nini kilitokea utaficha sura yako?