JipuKubwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 2,311
- 2,324
Habari wana jukwaa, moja kwa moja kwenye hoja.
Katika pitapita zangu hapa mjini 'Daslam' juzi jioni nikapita kwa wauzaji wa maandazi, keki,vitumbua na michapati kama yote. Baada ya malipo nikafungiwa bidhaa zangu huyo hadi home. Baada ya kufungua...hamad !,nilistuka baada ya kugundua mfuko uliotumika ni barua ya mwana chuo wa UDSM anayeishi Mabibo Hostel tena imeandikwa mwezi huu 02/03/2020 kwa warden na imepokelewa pamoja na kugongwa muhuri.
Maswali ninayojiuliza; hivi barua hazitunzwi baada ya kupokelewa kwa wahusika?
Barua zinafikaje kirahisi hivi mtaani?
Nchi inauhaba sana wa karatasi kutengeneza vifungashio?
Je nini kifanyike kuondokana na hii hali?
Naamini kupitia uzi huu,wanabodi tunaomba mawazo yenu ili tukisaidie chuo changu pendwa miaka hiyo enzi za 'Revo square'.
#Corona#
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika pitapita zangu hapa mjini 'Daslam' juzi jioni nikapita kwa wauzaji wa maandazi, keki,vitumbua na michapati kama yote. Baada ya malipo nikafungiwa bidhaa zangu huyo hadi home. Baada ya kufungua...hamad !,nilistuka baada ya kugundua mfuko uliotumika ni barua ya mwana chuo wa UDSM anayeishi Mabibo Hostel tena imeandikwa mwezi huu 02/03/2020 kwa warden na imepokelewa pamoja na kugongwa muhuri.
Maswali ninayojiuliza; hivi barua hazitunzwi baada ya kupokelewa kwa wahusika?
Barua zinafikaje kirahisi hivi mtaani?
Nchi inauhaba sana wa karatasi kutengeneza vifungashio?
Je nini kifanyike kuondokana na hii hali?
Naamini kupitia uzi huu,wanabodi tunaomba mawazo yenu ili tukisaidie chuo changu pendwa miaka hiyo enzi za 'Revo square'.
#Corona#
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app