Nimesimamishwa masomo Chuo Kikuu cha Dar es salaam.

Endelea kupinga tu mama, mdomo mali yako na hauulipii kodi
hivyo siwezi kukunyamazisha.:yawn:
Sawasawa?
Hivi bado hamjamstukia huyu Sobhuza? hata lugha yake inaonesha kabisa kuwa huyu si Mtanzania na yupo hapa kutia fitna. Nawashangaa sana ambao bado mnamuunga mkono.

Mimi nnapinga huyu si mwanafunzi wa UDSM na wala hajafukuzwa chuo.
 
DARUSO kwa upande mwngn mmeboa sana, mmesubiri sana watu wasahau ndo nyie mnaibuka w,isho ndo maana mmekosa mashiko na sapot toka kwa watu. pia seikali yenu imegawanyika sana na mmesababisha wanafunzi wengi zaidi kufukuzwa.
hongera sana na nyie mmeonja utam wa kuvaa kaptura kuuuubwa wakati viuno vyenu vidogo.
:hat:
DARUSO hawakuchelewa kama mnavyodai, nimeeleza hapo juu vizuri kwanini maamuzi ya serikali ya wanafunzi yalichelewa kuliko tukio lenyewe...
utawala wa chuo ndio ulinyima bunge la USRC vikao vya dharura ukishirikiana na Waziri Mkuu, huyo ambae juzi amewatangazia kuwa eti DARUSO ipo kama kawaida, na ndiye aliyebaki chuo pamoja na Waziri wa Katiba na Sheria.
 
Yeah... hata Spika wa bunge la DARUSO nae amefukzwa... I mean AMEFUKUZWA, huyu nae CCM imemponza maana alikuwa mwana-UVCCM damu. hapo kwenye red si lazima nifukuzwe chuo ndo nikawe mfagizi wa ofisi ya CDM, kwani huyo aliyepo sasa hivi nae alifukuzwa chuo?
Jiandae kuwa mtu wa vijiweni. CDM wamekuponza. Nenda kawaone, labda wanaweza hata kukupa kaz ya kuwa mfagizi wa ofisi zao chafu chaf pale Kinondoni!
 
eti eh?
Ile sio siasa ndugu, ni kudai haki ya wengi inayoporwa na wachache. Kuidai ni wajibu wa yeyote, na sio mtu fulani.
Kusoma kunakuwaje kwa raha kama wengi wenu hawana mikopo, ambayo ndiyo inayowaweka mjini. Yet, haohao ndio walisomeshwa bure na JKN.
Inauma uchungu alooo...

Hao wanaosema ni siasa na kuchongeana hawajafika chuo kikuu ni std 7 hao. Hawaijui hali halisi ya chuo kikuu wanadhani wale wasomi ni wapuuzi. Akina sitta pia waligoma ikumbukwe.
 
Ndugu Stake holder, naomba nikurekebishe kidogo hapo. Kama ni maswala ya siasa mtukanane kisiasa swala FISTULA linatoka wapi hapa? Je kama una ndugu yako au wewe unafistula utajisikiaje unaposoma hii sehemu? Kumbuka kuna mapambano makali dhidi ya kunyanyapaa wenye fistula kama ilivyo kwa ukimwi na magonjwa mengine ya aibu. Tuwe wastaarabu please.
 
Duuuuh baada ya kufuatilia kwa makini sana hili swala la migomo hasa katika chuo cha taifa UDSM nimegundua kuwa kuna mkono mkubwa wa wapinzani wa JK hasa wale wanaohimizwa kujivua gamba. Maana naona hija zinazoingizwa humu na jinsi mjadala unavyoenda kwenye vyombo mbalimbali vya habari naona hawa jamaa wamepandikiza vijana humu ndani ambao wanawapa ujana wa kukwepa kamera na kusumkumiza wenzao ili wafukuzwe wao wabaki chuo kwa mantiki ya kusingizia chadema ndiyo wapenda nguvu ya umma ya kudai haki kwa vurugu. Nasema hivi kwa kuwa hivi majuzi wakati hao jamaa wamekaa kikao cha bunge nilipata taarifa kuwa jamaa wanapanda rev square, nami bila kuchelewa nikabeba mikoba yangu na kutia timu kitaa kujua kinachojiri. Uongozi wa daruso ulipokuwa unapinganga maandamano kabla rais hajasaini kulikua na waliokua wana pingana nao ambao nitaarifiwa kuwa pia ni mawaziri hapa naungana kabisa na mmoja wa wachangiaji kuwa serikali ya daruso nayo imeparanganyika.

Ushauri wangu nilioutoa hapo awali nausisitiza na nafurahi kwani Mh. Mnyika ameshaliona hilo na kuanza kulifanyia kazi. Kaka Mnyika naomba unaposhughulikia hili swala chondechonde shirikisha watu zaidi ya mmoja tena wenye hikima za hali ya juu na siyo waendesha siasa wasiojua siasa. Hii itasaidia kuwachanganya hawa wanaopaswa kujivua gamba lakini wanawatumia vijana innocent kujisafisha badala ya kutimiza wajibu. Nape nauye tafadali jichunge sana na hao jamaa kwa kufanya wenzako wa CDM, CUF na NCCR walichofanya cha kuwatimiua bila kuajali.

Kimsingi hapa kina Lowasa na Rostam wanatajwa kuwa ndiyo washindi katika hili wakiamini kuwa Mukandala ndiye aliyetoa ushauri wa kujivua gamba na kumshauri Mh. Rais kinyume na matakwa yao.

Narudia maneno ya Papa Benedicto 16 kuwa vijana tujihadhari sana na wenye uchu wa madaraka wanaotufanya chambo kwa kuwadanganya na vipesa vidogovidogo lakini mwishowe mnatumbukia kubaya. Kwako wewe uliyesimamishwa masomo nadhani uko katika mstari wa kurudi chuo. Kwa waliofukuzwa ni bora kukimbia mahakama kuu ili waweke zuio la kutofanyia kazi adhabu yako uendelee na masomo mpaka hukumu yako itakapotolewa na mahakama hiyo.


Haya noi maoni na ushauri wangu tu.
 
Ndugu King Kong III acha kuwadanganya wenzio. wewe hustahili kuwa katika nchi yoyote hapa duniani. Ulipue Utawala kwa gurneti alafu pesa za madawa na maendeleo zijenge upya? acha ushauri usio na tija. Kama ni kuhamasisha unhanisha nguvu wanafunzi wasiingie madarasani wala wasije chuo kabisa mpaka watakapotatuliwa matatizo yao. Alafu inaoneka hujui wenzio wanacholalamikia au ugomvi ni wa chuo na wanafunzi au wanafunzi na serikali. Ugomvi wa mikopo ni wa mwanafunzi na serikali na siyo na chuo. Apambane na sponsor wake hukohuko nyumbani na mzazi wake akija chuo ni kulipa tu. Wewe umesema ulipanga lakini hukutekeleza baada ya kumalizana kwenye meza ya mazungumzo alafu unawachanganya wenzio. Tabia mbaya hiyoooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hana cha uanafunzi huyo, ni mtu ambae katumwa kufanya chokochoko, kila hoja yeye huingia au huanzisha kwa kusudi la kutenganisha na si kujenga, wengine tumesha mstukia ni nani. Msome vizuri utanielewa nnachosema.

sawa mama, wewe msimamo wako ni upi kwenye suala hili
 
UPDATES:
Wanafunzi tarkribani 40 walianza kuhojiwa tangu juma lililopita, Ukumbi wa Mikutano wa Blue Pearl @Ubungo Plaza. Baadhi wamerejea masomoni na wengine kesi yao imesogezwa mbele...
Hadi kufikia jana jioni, kundi lote la kwanza lilikuwa limekwishahojiwa na maamuzi tofauti kutolewa kuwahusu.
 
Back
Top Bottom