Nimeshangaa hii Mahari, sikuitegemea

Nimeshangaa hii Mahari, sikuitegemea

Leo nlimtuma mshenga na ancle wangu kuchukua majibu ya posa na thamani ya Mahali cha ajabu wamepewa karatasi yenye mchanganuo wa vitu na thamani yake jumla wamepata laki 658000 hata siamini hapo hapo wakatoa laki 2 nadaiwa laki 458000 (walienda na millioni 1 ila waliona ni dharau kulipa yote)
Mkuu haupo mdogo wake mwingine unikabidhishe?
 
Usikute gumegume Mkuu. Lilisha mtwanga magumi mamake, lilishatembea na waume za watu mtaa mzima, lilishakula uroda na vijana wote wa mtaani, lilisha wahi kuliwa uroda hadharani, n.k

Fanya utafiti Mkuu.
 
Mahali ni appreciation tu , kimsingi mahali kubwa ni sawa na kumuza bunti yako.
 
Mahali ni appreciation tu , kimsingi mahali kubwa ni sawa na kumuuza binti yako.
 
Hapo sina neno basi hayo mambo yaanzie kanda ya ziwa maana ng'ombe kadhaaa
Kwa kuwa mabinti wa kileo wanaoolewa ni decent na kwamba kutokana na changamoto za maisha wanajikuta ndoa zinafungiwa mjini na kwa kuwa kupeleka ng'ombe mjini ni kuchochea si tu mgogoro wa wakulima na wafugaji bali hata na wafanya biashara na watumiaji wengine wa mji basi kwa kauli moja tukokotoe tu gharama za ng'ombe tajwa hela itolewe ili zoezi la risiti liende kama ilivyopangwa!
 
Kwa kuwa mabinti wa kileo wanaoolewa ni decent na kwamba kutokana na changamoto za maisha wanajikuta ndoa zinafungiwa mjini na kwa kuwa kupeleka ng'ombe mjini ni kuchochea si tu mgogoro wa wakulima na wafugaji bali hata na wafanya biashara na watumiaji wengine wa mji basi kwa kauli moja tukokotoe tu gharama za ng'ombe tajwa hela itolewe ili zoezi la risiti liende kama ilivyopangwa!
Good point
 
Mkoa wa tanga ukienda kupeleka barua tu au kujitambulisha unahitaj kuoa binti yao wanakupa ukae nae kabisa maswala ya mahari na harusi mtapanga wenyewe mtawafahamisha kua mnataka harusi iwe tar ngapi na utaenda hata kitembea kwao daily na msosi unapewa bila was
Yah kwa mujibu wa imani ya Kiislamu, mahari ni zawadi inayotolewa na muowaji, kumpa anaeolewa. Kwahiyo anaepaswa kutamka zawadi hiyo ni mwanamke, ila kwa sasa wazizi wangine huu ni mradi wa kuboresha uchumi.
Ila kwa mtanzamo mwingine mahaari, ni kipimo cha kumpima mume kama anaweza kuntuza binti kwa kiwango gani.
 
Wakwe waelewa,maana hawa wasichana wa mwendokasi hawaeleweki mazee...
 
Mara ya mwisho mahali kupolewa kwetu ilikuwa 5.8M sijui kwasasa itakuwaje ,nawaza tu.
Teh teh... huyo dada yenu alikuwa na papuchi ya dhahabu au wazee walikuwa wanatafuta mtaji wa biashara? 5.8m is unrealistic.
 
Mkoa wa tanga ukienda kupeleka barua tu au kujitambulisha unahitaj kuoa binti yao wanakupa ukae nae kabisa maswala ya mahari na harusi mtapanga wenyewe mtawafahamisha kua mnataka harusi iwe tar ngapi na utaenda hata kitembea kwao daily na msosi unapewa bila was

hiyo Tanga ipi mkuu natumai sio ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
 
hongera mkuu upate wepes ktk ndoa yako tarajiwa

waislaam tunaamin ndoa ya mahari kidogo in baraka. ila mahari ni ya mwanamke na utashi wake hata akitaka gold mountain ndo hivyo tena ila kwa mapenz yao na kujali wake wema huangalia hali zetu na hutufanyia wepesi ktk mahari

mtunze vyema mtoto wa watu
 
Tupe wasifu ws huyo mke tafadhali..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom