Nimeshangaa hii Mahari, sikuitegemea

Nimeshangaa hii Mahari, sikuitegemea

Umepata wakwe ndugu, kazi kwako kulea mke vizuri
 
Hapo bado kodi haijajumuishwa, subiri kidogo utarudi uje utupe mrejesho@
 
Leo nlimtuma mshenga na ancle wangu kuchukua majibu ya posa na thamani ya Mahali cha ajabu wamepewa karatasi yenye mchanganuo wa vitu na thamani yake jumla wamepata laki 658000 hata siamini hapo hapo wakatoa laki 2 nadaiwa laki 458000 (walienda na millioni 1 ila waliona ni dharau kulipa yote)
Vitu vya bei cheeeee ni fake na havidumu vivyo hivyo mke mahari cheee kama simu ya tecno anaweza kuwa fake achana na mpango wa kumuoa kabla ya Juni 16 2016 la sivyo yatakukuta ya akina "nimemkojoza miaka 15"
 
Hongera... Ila hzo chenchi niletee naona huna haja nazo coz mke umeshampata
 
Wewe shangaa kama chief wa msoga alivyoenda Marekani akatunukiwa degree, akaenda Uchina akatunukiwa degree, akaenda tena Canada ....
 
wazazi wengine wameweka mabinti kama miradi ya kutokea. na anakomaa lazima utoe. sister angu alikuwa anaolewa. mahari iliyopangwa ilifika 3.5 jamaa alivyokuja katoa vitu vya muhimu vya kuwaridhisha walalamishi tukamkabidhi mke. alichotoa ni kama laki 9 hivi.
 
Hapo wamekupiga..ilitakiwa isizidi 32,350/= Tsh
Mikoa ya kusini bei inacheza hapahapa na wanawake wa kule ukiwaremba kimjini-mjini utajionea wivu hadi wewe mwenye. ila sasa nenda shinyanga, tabora na miko mingine ya huko mmhhh!!!
 
mhmhmhmhmhmhmhm makubwaaa na hongera
tunasubiri mrejesho wa ndoa
 
Kuna Mzee wangu mmoja mahari Kwa watoto wake wote wa kike ni shillingi elfu moja tu ,ila Ana fanya send off ya kuanzia 30 M
 
Mkoa wa tanga ukienda kupeleka barua tu au kujitambulisha unahitaj kuoa binti yao wanakupa ukae nae kabisa maswala ya mahari na harusi mtapanga wenyewe mtawafahamisha kua mnataka harusi iwe tar ngapi na utaenda hata kitembea kwao daily na msosi unapewa bila was
 
Mkuu duuh
Mbona umeguna? Ikiwa tunadai risiti kwa kununua tu bulb ya 2000 kwanini tusidai kwa malipo ya kumpata mke ambayo fedha hizo zingetosha kufanya wiring kwenye zahanati tatu za kijiji pamoja na mshahara wa mwezi mmoja wa mlinzi wa soko la ushirika?
 
Sasa hiyo EFD wakwe wataimiliki kwa biashara gani yaani thamani ya mtaji silazima iwe kiwango Fulani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom