uncle wangu mmoja alioa 2014,kwenye kikao mshenga alinichekesha sana,alisema"jamani hili ni jambo la kujenga na si kubomoa,kwa hyo usitake mahali ikulipie madeni yako yote au uanze kufikiria kufyatua matofali ili uanze kujenga nyumba ktk kiwanja chako ulichonunua" hata wale wazazi wa mwanamke walicheka lakini ndo message sent.uncle alipigwa 800,000/= ile kauli nadhani ilisaidia.hongera mkuu by the way.hao wazaz wa shem ni waelewa.mahali sio mtaji wala kukomoana wala malipo,bali ni masharti ya kimila/kidini tuu.