Nimeshangaa hii Mahari, sikuitegemea

Nimeshangaa hii Mahari, sikuitegemea

Tanga hii unaijua wewe ya jamhuri ya muungano wa tz na leo nakwambia ndo naenda huko mi napajua na watu wake asilimia kubwa nawajua na tabia zao za kidigo mamwinyi
 
Ww unaongelea iyo juz nimemwoza dogo kwa elfu 60000 tu
 
Mahari ni makubaliano ya wanaooana na sio kukomoana maana mwanamke si bidhaa kwanza wanaotoza mahari kubwa wana tamaa tu ya mali je binti yako asipodumu sura utaiweka wapi. Kama wamwkubaliana basi na iwe hivyo. Mimi nimeolewa na msahafu tu sio kwamba mume wangu hakumudu kulipa mahari hata yeye alinishangaa baada ya miaka mitatu ya urafiki namshika mahari ndogo,kupewa list ya madango ya nyumbani alitamani kupiga kelele nikamwambia ndio maana nilikushika kitu kidogo maana naijua hii kabila mahesabu yalipigwa vikazidi milioni,nikasimama kidete kuwaambia wazee huyo mtu hana uwezo hatolipa zaidi ya laki mbili au nibaki nyumbani ilikuwa ngumu lkn baadae wakaelewa na niliwafungulia njia wengine vizuri na mpk leo mwaka wa 12 nipo ndoani. Mahari si mtaji wala kukomoana inabidi tubadilike kuna walioolewa na mamilioni hata mwaka hawakumaliza,msikomoane wakati mtaenda kuishi wote na kujenga familia.
Big up Dada. Familia zingine mahari ndiyo mlango wa kutokea kwenye lindi la umaskini.
 
Umepigwa wewe pesa yote hiyo unajifariji tu wanawake wenyewe feki kwao wanajuwa punde tu atajiblock bora wakupe.
 
HONGERA mkuu wangu


Mana kwamba cku hzi wameondoaaa VAT kwenye mahari co??!
 
Hayo mahari ni halali yake, ukilinganisha na hali ya uchumi
 
Weka picha ya uyo binti ili tufanye tathimini kama anastahili iyo mahali asee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom