Inabidi usiandike tena kuhusiana na mambo ya kina Dori mkuu, usikute huwa anakutana nayo, halafu wazazi hata ufiche ID hadi miandiko wanaijua hata kama hawajawahi Iona hapo kabla😅😅😅😅Wasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Nilikuwa najua comment na jinsi alivyo sikufikiria kama nae ni anaweza kuwa anaujua huu mtandao achilia mbali kuutumiaAlikujuaje sababu hata akikodolea macho hawezi kukujua mpaka ufungue profile?
Una maana ya mama yako mzazi au Mama Samia Rais na kiongozi wetu.Wasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Sasa we mtu anaulizia hadi muvi, JF itamshinda nn?Mama mzazi mkuu...
Leo nipo hapa namsindikiza akasema kuna movies flan hv anahitaji nimrushie ndo nipo natoa kwa hard disk nahamisha nikaona storage kama inazingua nikawa. Nachek app za kufuta ndo nakutana na mzigo wa jf umetulia front page aiseee
Kumbe na wewe ni mkorofi hivi 😂😂😂Unataka kusema kwamba mama yake anajua kuwa mwanaye anatajirika na Yavuz Yakuz😁😁
Mkuu mkuu acha tuuSasa we mtu anaulizia hadi muvi, JF itamshinda nn?
Wee jamaa leo imekus siku ya ajabu sanaWewe kazana na Yavuzi Yavuzi zako ipo siku Uganga wako huko PM utakutana na mteja mnaepishana mlango mmoja.
Nataka kujiunga nitajirike mkuu😁😁Kumbe na wewe ni mkorofi hivi 😂😂😂
Ni mama angu..Poor Brain Hofu ni nini, kwanini ushike simu ya mtu uDelete app pila ruhusa yake, ukiulizwa kwanini utajibuje? Umeandika ni kama JF kuna biashara haramu.
YAKUZ YAVUZ...Nataka kujiunga nitajirike mkuu😁😁
Wee ni mtu wa pili unasema huu utopolo..USIJE JIKUTA NDO ANAITWA #mshangazi dot com
Hadi nione ushuhuda wa watu waliotajirika na hiyo YavuzYAKUZ YAVUZ...
Uwe na moyo maana kua billionaire sio kazi ndogo..
Karbu mkuu
Wapo kibao tu kuna jamaa anauza duka sasa hv ana supermarketHadi nione ushuhuda wa watu waliotajirika na hiyo Yavuz
Wee mkuu mbona jau hvi..Au unakuta kajiachia kwenye nyuzi ya sema fantasy yako...
Bi mdashi ajajiunga humu acha mambo yako wwTupate tangazo la wadhamini kwanza, naona Poor Brain anabisha sana.