Nimepigwa na butwaa

Unaweza kuta Mama yako ndio cocastic 😁😁
 
Kilicho kushangaza ni app au zaidi ya app,mbona kwa yeyote anayejitambua haumkosi humu.Halafu ulishazozana naye humu bila wewe kujua sasa.
 
Mkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..

Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Kwamba unadhani jf ni kwaajili yenu peke yenu watoto wa 2000
 
Hahaha...........Kwa kweli ningekoma iwapo angejua ID yanguπŸ˜…

Nilishangaa kuona anauliza kama nimewahi kuingia na kusoma nyuzi za Chit chat

Nikamwambia Mimi na Uzee huu, utanikuta jukwa la Kilimo na biashara tu πŸ€—
Daah akisikia ivyoo, anaona amejiokotea kibabu chenye Elah πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hahaha..............ila Kuna watu wanaweza kumiliki ID mbili, Mimi hii moja pekee huwa Kuna muda nasahau nywila (password) πŸ™Œ

Labda kutokana na zee nilionao 😜
Wewe kuna muda hadi unajisahau mwenyewe ndio itakuwa nywila?
 
Wewe kuna muda hadi unajisahau mwenyewe ndio itakuwa nywila?
Hahaha.............Kwa kweli 😜

Kuna Siku nilitembea hadi Benki nikiwa na Kadi yangu ya kutolea pension

Si nikawa nimesahau nambari ya Siri πŸ™Œ

Kweli tumezeeka sasa 😜
 
Ukikagua vizuri unaweza kuta hata app ya Tinder ipo, chukulia vitu rahisi tu.
 
Hahaha.............Kwa kweli 😜

Kuna Siku nilitembea hadi Benki nikiwa na Kadi yangu ya kutolea pension

Si nikawa nimesahau nambari ya Siri πŸ™Œ

Kweli tumezeeka sasa 😜
Ikawaje? We kweli mzee πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…