Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Nilishaomba sana niende hata karibu na geti lao nimwone akasema baba yake ana supermarket nje ya geti anauza humo ni ngumu kumwona
Kwa jibu hilo tu wala hukuwa na haja ya kuja humu kuomba ushauri!
 
We mbahili sana alaf tumia akili..50 kwa ajili ya kupanda taxi?hauna Rafiki yako ana gari uweke mafuta ya 20 umfate..na kumfata unaona nn kama kama ulimtafuta mda wote huo..watu Tunatuma laki mtt anatoka mtwara ambayo nauli 40 tu..tena unampima akili mwenye kujiongeza anatakwambia nauli ya kurudi nnayo bby..mapenzi kamali tu.tuma io ela asipokuja ujue umekosa dem fanya mambo mengine kuliko kujisononesha apa anakuchora tu..au kama unaona shida mfate upunguze gharama.
Hayo maisha ya Maigizo vijana yatawa cost sana, jaribuni kuishi maisha halisi, kwa nini auzime gari ya rafiki yako eti umfuate, kwa nini asitumie public transport, vijana mjitahidi kuishi uhalisia,mnadanganyana hapo mwanzo kwa kufake maisha then mnaingia kwenye Ndoa mambo yanawashinda
 
Nilishaomba sana niende hata karibu na geti lao nimwone akasema baba yake ana supermarket nje ya geti anauza humo ni ngumu kumwona
Ahahahaj Hii imenihuzunisha sana kwamba nayo ni njia ya kukukwepa....... Naishi Mbeeeezi
 
Mi mwenyewe naishi kwa kubahatisha yan 50 nitume nauli tu? Kula bado,kurudi bado si majanga hayo
Hayo majaribu aisee. 50 elfu nauli ya kuja tu bado gharama nyingine. Mwambie kuna mwendokasi hahaha
 
Hayo maisha ya Maigizo vijana yatawa cost sana, jaribuni kuishi maisha halisi, kwa nini auzime gari ya rafiki yako eti umfuate, kwa nini asitumie public transport, vijana mjitahidi kuishi uhalisia,mnadanganyana hapo mwanzo kwa kufake maisha then mnaingia kwenye Ndoa mambo yanawashinda
Angeomba elfu 10 wala nisingelalamika hivi lkn 50
 
[ndo hiyo nini?
 

Attachments

  • 1474785720477.jpg
    1474785720477.jpg
    54.8 KB · Views: 30
Kwa hiyo 50 na uchumi ulivyobana kipindi hiki anaonekana ni mtu wa starehe mno huyo sitamuweza msukuma mimi

Okay.

Then achana naye fanya mengine ya maana. Pia epuka kufanya maamuzi ya haraka na assumption ambazo huna uhakika.
 
Nilimpata humuhumu,ila anisamehe tu amegusa parefu mno
Mkuu.....
Kama ingekua mimi ndio wewe, basi kwa style hii ningekua nimeanzisha thread nyingi sana kuhusu wadada wa humu Jf.
Kiukweli haujafanya poa sana, kama kweli ulimpata huyo mdada humu Jf, hapakua na haja ya kuja kuanzisha uzi wa hovyohovyo namna hii aiseeee.... hii inaonyesha jinsi ulivyo na ubongo wa kuku, maana issue ndogo kama hiyo umeshindwa kuimaliza mwenyewe hadi uje uanzishe uzi humu..
Sasa ukiweza kumiliki mwanamke ndani, si ndio utakua unashindwa tatua matatizo ya ndani na kisha kuyaleta humu jamvini kila kukicha..
 
Hayo maisha ya Maigizo vijana yatawa cost sana, jaribuni kuishi maisha halisi, kwa nini auzime gari ya rafiki yako eti umfuate, kwa nini asitumie public transport, vijana mjitahidi kuishi uhalisia,mnadanganyana hapo mwanzo kwa kufake maisha then mnaingia kwenye Ndoa mambo yanawashinda

Hiyo nimekwambia wewe kwa kukuonea huruma unvyojiingiza kwenye mapenzi bado ujajipanga hata 50 inakusumbua maskini ya mungu na ushamblock mtt wa watu..nitumie io namba mimi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom