#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

Kureact kwa mwili kwassbabu ya chajo kwa baadhi ya watu ni kawaida.
Kuna sehem tumechanja na mwenzangu yeye imereact mimi kawaida kabisa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kureact kwa mwili kwassbabu ya chajo kwa baadhi ya watu ni kawaida.
Kuna sehem tumechanja na mwenzangu yeye imereact mimi kawaida kabisa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Mkuu vipi hutaki kujua kitakacho kuja kuwakuta wanao au wajukuu zako .. kumbuka hii ni experimental vaccine inacheza na vinasaba.. effect yake sio ya papo kwa papo .. longterm effect haijulikani.... isije Kuwa kama mambo ya hiroshima baada ya kupigwa atomic bomb watoto wanaozaliwa wana birth defect
 
Mkuu vipi hutaki kujua kitakacho kuja kuwakuta wanao au wajukuu zako .. kumbuka hii ni experimental vaccine inacheza na vinasaba.. effect yake sio ya papo kwa papo .. longterm effect haijulikani.... isije Kuwa kama mambo ya hiroshima baada ya kupigwa atomic bomb watoto wanaozaliwa wana birth defect
Hizo ni story tu zikijumuisha ushindani wa biashara kwa makampuni mengine yanayotaka kuuza chanjo zao.
Hakuna uhakika.
Hii imekuwa ni issue ya kibiashara zaidi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Chanjo sehemu nyingi duniani siyo lazima. Ila baada ya muda itakuja kukulazimu (kumbuka siyo lazima) kuchanjwa. Nahisi kwa watu wanaosafiri nje ya nchi/kwenda kwenye shughuli maalum wanaweza kukwama kama hawajachanjwa. Chukulia mfano wa Hija. Pia pengine kuna nchi zitataka uwe na cheti cha chanjo kabla hujaingia kwenye hizo nchi, kama ilivyo yellow fever. Siyo lazima, lakini unalazimika.
Hiyo lazima ndiyo tunasema ni biashara tu
 
Kijana hakuna chanjo ya ugonjwa uliovumbuluwa na Mwanasiasa wa CCM unaoitwa Changamoto ya kupumua) ila chanjo zilizopo zimeshathibitishwa na WHO ni kwa akili Covid19
Sasa wewe ulishawahi kuugua safura utotoni? mbona akili yako imedumaa hivyo
Dogo we elewa tu kwamba hizo chanjo bado zipo kwenye majaribio hilo halina ubishi hata WHO wanajua hivyo sasa sijui wewe unabisha hapa.
 
Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.

Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.

Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo

Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.

Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.

Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
Kunatofauti kati ya bongo na USA me sizani kama tunaweza pata uliyopata wewe kama S.A wachina wamekutwa wana pika fake
 
Ego my foot, unanipangia? Sio kila mtu atafanya unavyopenda wewe. Subiri serikali wakujibu kwanini hawaleti ila hata wakileta kama ni hiari sichanji.

Hasira za nini? Tuko hapa kujaribu kuokoa maisha ya Watanzania. Hakuna mtu analazimishwa kupiga chanjo kikubwa ni upatikanaji na Tanzania tatizo hazipo na hatuna habari zinakuja lini. Hatuwezi kusubiri tu bila kufanya maamuzi yeyote. Kukataa vitu bila kuweka suluhisho sio uongozi bora. Kuna wanaofikiria tukikaa bila kufanya chochote hatuta risk hii sio kweli.

Kila mtu atapima risk ya chanjo na kuumwa. Tatizo hata usipo zidiwa hata kuumwa nako kuna risk nyingi sana kuna wengine wamepona korona na kupata matatizo ya moyo, wengine matatizo ya mapafu na wenye magojwa ndiyo kabisa. Kwangu binafsi risk ya corona ilikuwa kubwa sana kuliko risk ya chanjo na baada ya kupima kwa makini nikafanya maamuzi. Tatizo Tanzania wazee wetu wenye miaka 70 wako kwenye hatari kubwa sana bila chanjo na serikali tunacho omba ichague na kufanya chanjo ziwepo kwa wanaotaka hata kama ni kwa kulipia.
 



Tatizo la wataalamu wetu wengine. Je kampuni gani ya madawa amewahi kufanya kazi kuja na hizi list. Dawa tunazotumia zimetoka kwa hizi kampuni sasa huyu Dr anajua kuliko hao wanaotengeneza dawa ambazo tunatumia kila siku. Hata chanjo tulizonazo kwenye miili yetu karibu watu wote zimetoka kwa hao hao!!. Kwanini asingefanya walau kisomi na kupinga zile report za hizi chanjo na tafiti ambazo zimejadiliwa na majopo ya wataalamu. Mimi siamini maneno pekee kwenye sayansi unatakiwa kutoa ushahidi
 
Si mbaya endapo muhusika ni yule anaezuia wewe usipate chanjo. Mkiwa vitani mmoja wenu akiwa anasababisha uoga kwenye kikosi chenu ni kheri mumuue ili msonge mbele kwa bashasha.
Pambana na ujinga, usipambane na mtu.

Ukitaka kila unayetofautiana naye apate ugonjwa, unaweza kuiua dunia nzima ukabaki peke yako.
 
Juzi nimeongea na mzee wangu , kapata chanjo moja bado moja, alikuwa aje mwezi huu wa tatu lakini kulingana na hali ya hapa kwetu kasema Hapana. Acha asuburi aone upepo unavyokwenda
 
Mie natamani sana hao wanaokataa chanjo waugue....huu ugonjwa mie naweza kesha siku nzima nikihadithia jinsi unavyotesa... unanyong'onyeza mno kwa muda mrefu nowonder wazee inawaonda mapema sana..ni mateso makali sana
Mamito pole sana,nilifunga na kuomba Siku tatu kwa ajili yako,naona Mungu amejibu maombi hakika umepona.

Huko Kenya tena wamegundua covid 19 third wave linakuja.Mungu atusaidie.
IMG-20210309-WA0005.jpg
 
Pambana na ujinga, usipambane na mtu.

Ukitaka kila unayetofautiana naye apate ugonjwa, unaweza kuiua dunia nzima ukabaki peke yako.
Kama baba anawztia ujinga watoto mtabaki mkimchekea tu! Haiwezekani mtaiangamiza familia nzima kwa ajili ya mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom