Mpuuz ni wewe uliekalilishwa vitu pasina hoja ya msingiWewe ni MPUUZI. Period!
Mpuuz ni wewe uliekalilishwa vitu pasina hoja ya msingiWewe ni MPUUZI. Period!
Kureact kwa mwili kwassbabu ya chajo kwa baadhi ya watu ni kawaida.
Kuna sehem tumechanja na mwenzangu yeye imereact mimi kawaida kabisa.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hizo ni story tu zikijumuisha ushindani wa biashara kwa makampuni mengine yanayotaka kuuza chanjo zao.Mkuu vipi hutaki kujua kitakacho kuja kuwakuta wanao au wajukuu zako .. kumbuka hii ni experimental vaccine inacheza na vinasaba.. effect yake sio ya papo kwa papo .. longterm effect haijulikani.... isije Kuwa kama mambo ya hiroshima baada ya kupigwa atomic bomb watoto wanaozaliwa wana birth defect
Hiyo lazima ndiyo tunasema ni biashara tuChanjo sehemu nyingi duniani siyo lazima. Ila baada ya muda itakuja kukulazimu (kumbuka siyo lazima) kuchanjwa. Nahisi kwa watu wanaosafiri nje ya nchi/kwenda kwenye shughuli maalum wanaweza kukwama kama hawajachanjwa. Chukulia mfano wa Hija. Pia pengine kuna nchi zitataka uwe na cheti cha chanjo kabla hujaingia kwenye hizo nchi, kama ilivyo yellow fever. Siyo lazima, lakini unalazimika.
Dogo we elewa tu kwamba hizo chanjo bado zipo kwenye majaribio hilo halina ubishi hata WHO wanajua hivyo sasa sijui wewe unabisha hapa.Kijana hakuna chanjo ya ugonjwa uliovumbuluwa na Mwanasiasa wa CCM unaoitwa Changamoto ya kupumua) ila chanjo zilizopo zimeshathibitishwa na WHO ni kwa akili Covid19
Sasa wewe ulishawahi kuugua safura utotoni? mbona akili yako imedumaa hivyo
Yaakhe si hivyoMkuu bila shaka wewe ni wa Unguja ama Pemba!
Kunatofauti kati ya bongo na USA me sizani kama tunaweza pata uliyopata wewe kama S.A wachina wamekutwa wana pika fakeNimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.
Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.
Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo
Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.
Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.
Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
Ego my foot, unanipangia? Sio kila mtu atafanya unavyopenda wewe. Subiri serikali wakujibu kwanini hawaleti ila hata wakileta kama ni hiari sichanji.
Pambana na ujinga, usipambane na mtu.Si mbaya endapo muhusika ni yule anaezuia wewe usipate chanjo. Mkiwa vitani mmoja wenu akiwa anasababisha uoga kwenye kikosi chenu ni kheri mumuue ili msonge mbele kwa bashasha.
Mamito pole sana,nilifunga na kuomba Siku tatu kwa ajili yako,naona Mungu amejibu maombi hakika umepona.Mie natamani sana hao wanaokataa chanjo waugue....huu ugonjwa mie naweza kesha siku nzima nikihadithia jinsi unavyotesa... unanyong'onyeza mno kwa muda mrefu nowonder wazee inawaonda mapema sana..ni mateso makali sana
Kama baba anawztia ujinga watoto mtabaki mkimchekea tu! Haiwezekani mtaiangamiza familia nzima kwa ajili ya mtu mmoja.Pambana na ujinga, usipambane na mtu.
Ukitaka kila unayetofautiana naye apate ugonjwa, unaweza kuiua dunia nzima ukabaki peke yako.
Jamanuminakuja 3rd wave tena? Uwii...asante mpendwa..bado nna maumv kwakwelMamito pole sana,nilifunga na kuomba Siku tatu kwa ajili yako,naona Mungu amejibu maombi hakika umepona.
Huko Kenya tena wamegundua covid 19 third wave linakuja.Mungu atusaidie.View attachment 1720973
Amini ushapona,mi kama mtumishi,maumivu yatatoweka.Jamanuminakuja 3rd wave tena? Uwii...asante mpendwa..bado nna maumv kwakwel
Awamu ya 5 imeweza kutengeneza kundi kubwa sana la watu wasiotumia akiliHapa kuna mtu anapinga chanjo halafu anachakata papuchi bila kinga.
Hatari sana.