Nimeokota peni ya ajabu

Nimeokota peni ya ajabu

Anatapeliwa mtu humu siku si nyingi,,,, kazi njema ulieokota Almasi wabakizie hela ya vocha hawa ndugu zetu ili watuletee mrejesho
 
Kama umeletawa dili fahamu ni feki,
Kama umeokota kweli umeula
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Lingekuwa bomu wewe lingekumaliza na toto zako unavunja kitu usichokuwa na uhakika nacho ni nini.
 
mkuu nenda kauze fasta mpunga huo unasubr waje vjn w kaz wakunyooshe shingo enh haya
 
Huyu jamaa ni tapeli, niliwahi kukutana nao maeneo ya Posta miaka ya nyuma.
Wenye uchu wa utajiri anaweza kuwanasa.
 
Na hakika kabisa kuanzia sasa basi maisha yako yako hatarini.

Hii Kampuni ya wenye kalamu yao nahakika wameshaanza kukusaka.


Tahadhali, Kaa nayo angalau mwaka hivi ukatike na Usijibu PM Yoyote ya humu ndani.
 
Asee wamekuja na mbinu ya kidigitali...siku za nyuma mtu alikuwa anasema amepata ajali na briefcase ya singasinga ikapasuka na kichupa kikaanguka na yeye akakiokota.. kimeandikwa Wiliamson diamond mines...hajui nini kilichomo ila aliogopa kumpa singasinga coz alikuwa anaulizia nani ameokota kichupa chake huku ameshika pistol... Jihadharin nyie mnaotaka pm za mleta mada....eti yy mjinga saaana mpaka aokote kitu km hicho apite anakitangaza. Utapeli umepanda daraja...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom