Nimeokoka nimeacha pombe

Nimeokoka nimeacha pombe

Miaka nakunywa sana. Bia ndio ilikuwa inanipa hasira ha kutafuta hela. Kuna kiakil flan unapata ukiwa high. Lakin ile ya aste aste.

Deal nying sana nasuka nikiwa na bia kichwan na nafanikiwa.

malengo unaweza timiza hata ukiwa mnywaji.
Ww unaweza usinywe pombe. Ukapata na hela na usiweze hata kununua kiwanja had unafika 50 yrs.
Kweli , na pombe ni gharama lazima upambane ili utii kiu yako
 
Tena kama mfanyakaz. Hela ya mshahara hautakiwi kugusa kabisa kwenye bia.

Fanya hata udalali. Unganisha deals kadhaa upate mgao wako . Ishu ikitokea unajifanya unajua sana ili uwende ww kununua ule cha juu.
Na ndio hela za kuhemea bar 😊😊😊😊
Kabisa
 
Deal nying sana nasuka nikiwa na bia kichwan na nafanikiwa.
malengo unaweza timiza hata ukiwa mnywaji.

Ww unaweza usinywe pombe. Ukapata na hela na usiweze hata kununua kiwanja had unafika 50 yrs.
Huu nao sasa ni uzembe wa mwenyewe muhusika na of course tunao mitaani watu wa hivi sikatai ni sawa na wanywa pombe wanaozeeka hawana hata kiwanja.

Ila kwa mimi nisiye mnywaji (nikizingatia circle ya jamaa zangu wanywaji) naamini pombe inachelewesha sana baadhi ya vitu kama siyo kuvifelisha kabisa ndiyo maana post yangu ya mwanzo nikasema ukiwa ndani ya kundi hujioni kama unakosea na ni asili yetu binadamu siyo rahisi kuona unachokifanya siyo sahani
 
Huu nao sasa ni uzembe wa mwenyewe muhusika na of course tunao mitaani watu wa hivi sikatai ni sawa na wanywa pombe wanaozeeka hawana hata kiwanja.

Ila kwa mimi nisiye mnywaji (nikizingatia circle ya jamaa zangu wanywaji) naamini pombe inachelewesha sana baadhi ya vitu kama siyo kuvifelisha kabisa ndiyo maana post yangu ya mwanzo nikasema ukiwa ndani ya kundi hujioni kama unakosea na ni asili yetu binadamu siyo rahisi kuona unachokifanya siyo sahani
Hiyo circle yako ndio mbaya na sio pombe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom