Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,341
- 6,913
Ivi kumbe ule mshale ulimlenga yule mkulima wa MvomeroAu sio!
Ivi kumbe ule mshale ulimlenga yule mkulima wa MvomeroAu sio!
Ayee! Atajua mwenyewe huko!Ivi kumbe ule mshale ulimlenga yule mkulima wa Mvomero
Nilimpatia pia quinine hope atakaa sawa sasa maana malaria ilikuwa ishapanda kichwaniAyee! Atajua mwenyewe huko!
Mbona sikuona? Hebu nitag😁Nilimpatia pia quinine hope atakaa sawa sasa maana malaria ilikuwa ishapanda kichwani
Sijui kutag ila nilifungua uzi wa Member kupigwa ban nani alaumiwe?Mbona sikuona? Hebu nitag😁
Haya banaSijui kutag ila nilifungua uzi wa Member kupigwa ban nani alaumiwe?
Hujaona faida ya Pombe, sasa unakunywa soda, Una faida gani?Nimeamua kuacha pombe kwa maana sijawahi kuona faida yake yoyote kwa sasa vinywaji vyangu vitakuwa ni maji, soda na juice tu.
View attachment 3604486
Alikuwa na maradhi yake huyo msimsingizie my wetu whisky.Kuna mwingine kafariki Jana, amekutwa kafa kalala kitandani...mashuhuda wanasema usiku alikunywa pombe Kali sana akalala...haloo hajaamka. Tena ni mfanyakazi mkubwa tu kwenye ofisi ya mkurugenzi...ukiona tangazo Fulani la mkurugenzi kuuarifu uma kuwa mfanyakazi wake daraja la pili kitengo Fulani siku ya Jana ujue ndio huyo. Endeleeni kupiga vyombo