Nimeokoka nimeacha pombe

Nimeokoka nimeacha pombe

Sawa, sote tutakufa ila ni kifo Cha aina Gani?? Unaachia aibu kwa familia, rafiki, ndugu, majirani na wapenda matendo mema. Watu waone aibu hata kukufanyia ibada..na inawezekana alikuwa akisali ama akiswali vizuri ila mwisho wake unakatishwa kwa pombe ni aibu!
We Duniani hakuna mwema watu wana siri za ajabu wewe 😂 😂 😂 😂 😂
 
Nimeamua kuacha pombe kwa maana sijawahi kuona faida yake yoyote kwa sasa vinywaji vyangu vitakuwa ni maji, soda na juice tu.

View attachment 3604486
Hongera ila ni kama umetoa mzigo kichwani ukauweka begani manake hizo soda hatimaye zitakuharibia figo zako. Ingekuwa bora zaidi ukaacha pia soda halafu tena jikite kunywa juice uliyotengeneza mwenyewe (Home made juice). Hizo juice za viwandani nazo pia ni :FIRE:
 
Kuna mwingine kafariki Jana, amekutwa kafa kalala kitandani...mashuhuda wanasema usiku alikunywa pombe Kali sana akalala...haloo hajaamka. Tena ni mfanyakazi mkubwa tu kwenye ofisi ya mkurugenzi...ukiona tangazo Fulani la mkurugenzi kuuarifu uma kuwa mfanyakazi wake daraja la pili kitengo Fulani siku ya Jana ujue ndio huyo. Endeleeni kupiga vyombo
Wakati wa mfungo uliopita kuna jamaa yangu Alifia usingizini na alikuwa hajawahi kunywa pombe maisha yake yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom