ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,993
- 40,148
😃Kuliko kuacha kabisa ungezugazuga kwanza kidogo kwenye hizi laini
😃Kuliko kuacha kabisa ungezugazuga kwanza kidogo kwenye hizi laini
Akili mtu wangu ohoooo😅Kumbe inawezekana kua Pombe ndio imemuacha yeye si ndio?
😀
Watu wanakufa kila siku, mtu kufa na pombe sio sababu ya kuacha pombeKuna mwingine kafariki Jana, amekutwa kafa kalala kitandani...mashuhuda wanasema usiku alikunywa pombe Kali sana akalala...haloo hajaamka. Tena ni mfanyakazi mkubwa tu kwenye ofisi ya mkurugenzi...ukiona tangazo Fulani la mkurugenzi kuuarifu uma kuwa mfanyakazi wake daraja la pili kitengo Fulani siku ya Jana ujue ndio huyo. Endeleeni kupiga vyombo
Bwashee ningeshangaa sana kama nisingekuona kwenye huu uzi ukitetea chama lenu.Watu wanakufa kila siku, mtu kufa na pombe sio sababu ya kuacha pombe
Sawa, sote tutakufa ila ni kifo Cha aina Gani?? Unaachia aibu kwa familia, rafiki, ndugu, majirani na wapenda matendo mema. Watu waone aibu hata kukufanyia ibada..na inawezekana alikuwa akisali ama akiswali vizuri ila mwisho wake unakatishwa kwa pombe ni aibu!Watu wanakufa kila siku, mtu kufa na pombe sio sababu ya kuacha pombe
Sio kila mtu ni wa dini ,kifo ni kifo hakuna kifo cha aibu ukifa umekufa tu , pombe ipo tangu kale utakufa yatapita maelfu ya miaka utaiacha inadundaSawa, sote tutakufa ila ni kifo Cha aina Gani?? Unaachia aibu kwa familia, rafiki, ndugu, majirani na wapenda matendo mema. Watu waone aibu hata kukufanyia ibada..na inawezekana alikuwa akisali ama akiswali vizuri ila mwisho wake unakatishwa kwa pombe ni aibu!
Sasa inapaswa usiwe limbukeni wa pombe, jua kiwango Chako. Alafu ukifa aibu hupati wewe ni wale niliokutajia hapo juu ndio unawaachia aibu Yako huku dunianiSio kila mtu ni wa dini ,kifo ni kifo hakuna kifo cha aibu ukifa umekufa tu , pombe ipo tangu kale utakufa yatapita maelfu ya miaka utaiacha inadunda
Hakuna cha aibu kwenye kufa, kila kitu tumia kwa kiasi hata dini usipokua na kiasi inaweza kuuaSasa inapaswa usiwe limbukeni wa pombe, jua kiwango Chako. Alafu ukifa aibu hupati wewe ni wale niliokutajia hapo juu ndio unawaachia aibu Yako huku duniani
Ndugu yangu Castle_Lite unaitwa huku.
Naona Bado kichwa Chako kigumu kuelewa, nikuache kwanza.Hakuna cha aibu kwenye kufa, kila kitu tumia kwa kiasi hata dini usipokua na kiasi inaweza kuua
Pombe ipo maelfu ya miaka na inadunda , nikuelewe wewe wa juzi hapa? Wewe Kunywa maziwa wanaokunywa pombe watakunywa tuNaona Bado kichwa Chako kigumu kuelewa, nikuache kwanza.
Heri kwako umetambua mapema,kupitia pombe wengi sana wameshindwa kufikia malengo wengine wameishia njiani tatizo ukiwa mnywaji hilo kichwani wala haliji.
Haya nenda kanywe sasa, ikiwezekana beba na familia Yako yote muwe mnabugia vizuriPombe ipo maelfu ya miaka na inadunda , nikuelewe wewe wa juzi hapa? Wewe Kunywa maziwa wanaokunywa pombe watakunywa tu