Nimeokoka nimeacha pombe

Nimeokoka nimeacha pombe

Nimeamua kuacha pombe kwa maana sijawahi kuona faida yake yoyote kwa sasa vinywaji vyangu vitakuwa ni maji, soda na juice tu.

View attachment 3604486
Nani alikwambia pombe ni dhambi? Mbona mimi huwa nastua kwanza kabla sijaenda misa na ninafanya hivi ili nikapokee mkate uchanganyikane na pombe vizuri
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    76.6 KB · Views: 9

Similar Discussions

Back
Top Bottom