Habari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Moyo naona umemdondokea baba, kuwa tu na baba.Baba anapesa na ni good looking kuliko mtoto.
Sema ujiandae tu kutafuta spare ya papuchihaya nitakuja aise sasa hivi
Wewe baba anakwenda gym yuko vizuri, pia maongezi yake yanavutia sasa hapa ninatamani kumwambia tukamsalimie tena baba yako, lakini atashtuka sipendi kwenda kwake iweje nipende kwenda kwa mdingi?Moyo naona umemdondokea baba, kuwa tu na baba.
aha hhahahaha basi we nenda na mapesa yakoSema ujiandae tu kutafuta spare ya papuchi
Vipi baba ana dalili za kukuelewa?Wewe baba anakwenda gym yuko vizuri, pia maongezi yake yanavutia sasa hapa ninatamani kumwambia tukamsalimie tena baba yako, lakini atashtuka sipendi kwenda kwake iweje nipende kwenda kwa mdingi?
Mambo Tomato TomitoKwahiyo ndiyo kusema kuwa hata hapo ulipo sasa hivi umeshajipizia kabla hata huyo Baba hajakubandua na Mkuyenge wake?
Ha ha haaha hhahahaha basi we nenda na mapesa yako
haina spare hii nenda tu babaHa ha ha
pesa ya mupare hailiwi kirahisi weye
Hapana Mkuu.Mkuu huyo kwenye avatar ndio ww
Jitahidi uwe nayo, ila ujue nini kilimuua mama.Sana tu lakini sina mawasiliano nae kwa sasa.
Wewe si unapenda pesa?haina spare hii nenda tu baba
sitaki pesa ya kuchakaza viungoWewe si unapenda pesa?
Vipi mbona hutaki?
Hahaaaaa acha fix bos nyie watu wa kilimanjaro ndio zenu.Hapana Mkuu.
Hiyo nimeweka aisee maana nikiweka picha yangu hapo usumbufu utakuwa mwingi sana. Wadada watajazana sana PM
Ha ha hasitaki pesa ya kuchakaza viungo