Nimemkimbia demu wangu jana, wahuni walitaka kunigegeda

Status
Not open for further replies.
mkubwa pole sana duh ni janga ila face matokeo in advice usipende tembea na mtu unaempenda usiku with foot ni mbaya saana jamaa wanapataga advantage kubwa saana wangekutom**a mchumba ako siungejiua sijui sijui ungemuacha duh:wave:
 
Huu uzi ulikataa kufunguka jana...sasa leo umefunguka mbavu sina!!! Kwahiyo mkuu dem wako aligegedwa?
 
Dogo katunga stori. Hilo eneo tunalijua sana haiwezekani kwa saa 5 kufanyika vitendo hivyo.

mkuuu hata mimi nashangaa sana kiukweli kwa MWENGE jamaa katunga story coz mitaa ya MWENGE mm hata saa 9 au 8 natembea mpaka home hakuna wakunikaba mbali zaidi eneo alilolitaja watu wanakesha wanatembea mkuu .hapo tra kuna polisi wanakesha wanalinda upande wapili kunawalinzi kibao wanalinda maduka.
ukirudi nyuma kidogo kuna jamaa wanao ziba pancha pale Sheri wanakesha 24 hrs.
mwisho hiyo Barbara gari bajaji na pikipiki na watu wanakesha wakitembea toka kona baaa/mbugani.

mwisho wewe jamaa ni kilaza sana unakimbia na kumwacha dem wako??
kiukweli mm nikikabwa na jamaa watake kunitafuna siku hiyo ndio itakuwa siku yangu ya kifu ni bora nife kuliko kutafunwa.
siku zote vibaka hawana ushilikiano kwenye kifo unajitoa mhanga mkuu namnyokea 1 namtenda vilivyo kama ni ngum ya mdomo nahakikisha Katema meno.

tatizo lenu vijana mmelegea sana na vinguo vyenu mnavyo vaa hajulikani nani dem nani men.

mm nishatembea sana dar usiku lakini sijawahi kabwa hata Mara 1.siraha kubwa namba 1 nijivuniayo ni mbio nikichomoka kibaka lazima mwenyewe acheke. 2 kidogo najiamini kwenye defence inapotokea hatari kama hiyo.
 
Acheni justification irimradi mmejustify jamani...
Pole sana kijana,ila talk 2 ur girlfriend!,hadi amekutafuta kweli anakupenda
 
Mkuu HIGH SCHOOL tupe updates vipi umeshaonana na huyo gf wako uliyemkimbia baada ya kutaka kugegedwa?
 
Last edited by a moderator:
MREJESHO WAKUU
Jana mida ya saa kumi na mbili jioni demu wangu alikuja ninapoishi akanikuta nafua, alipofika mi nilikuwa sijamuona nikasikia mtu anacheka. Nikageuka nikamuona ni yeye, akazidisha kucheka namimi nikaanza kucheka. Akawa ananicheka huku ana igiza maneno niliyokuwa najitetea kwa wale jamaa wakati wananivua nguo. nikamuuliza kiliendelea nini, anasema jamaa walimtukana kibwana chako chenyewe kioga tu na angebaki angejua sisi ni nani leo. wakamuachia akarudi kwake.......... mwisho wa siku tukaishia kucheka tu, namshukuru sana Mungu tigo yangu imepona.
 
MREJESHO WAKUU
Jana mida ya saa kumi na mbili jioni demu wangu alikuja ninapoishi akanikuta nafua, alipofika mi nilikuwa sijamuona nikasikia mtu anacheka. Nikageuka nikamuona ni yeye, akazidisha kucheka namimi nikaanza kucheka. Akawa ananicheka huku ana igiza maneno niliyokuwa najitetea kwa wale jamaa wakati wananivua nguo. nikamuuliza kiliendelea nini, anasema jamaa walimtukana kibwana chako chenyewe kioga tu na angebaki angejua sisi ni nani leo. wakamuachia akarudi kwake.......... mwisho wa siku tukaishia kucheka tu, namshukuru sana Mungu tigo yangu imepona.

Eh aroo! Haya


Sent from Mchina
 
iseee bora ulikimbia maan sijui unengemegwa mbele ya demu wako naamini ungeshajiua kabisa
 
uwoga upi sasa? Kukimbia ni ujasiri tosha.

Wanataka kukuvua boxer na umepata chance ya kukimbia ,unaiacha??

Acheni kumponda mshkaji,alilinda marinda yake

A coward dies a thousands deaths, a soldier dies but once, tupac shakur if I die 2nite, put a fight like a man, utakuwa unavaa mlegezo.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom