Nimemfumania mume wangu live

Nimemfumania mume wangu live

Hapana..siyo kweli..Wanaume sivyo walivyo ila mume wake ndivyo alivyo!!
Hahahah kuna statement unazisoma and you can't stop wonder kwa nini wanaume wataendelea kututreat as if wametufanyia favor kutuoa. Unamkuta mke wa ndoa kajikatia tamaa huyo jamani mweeh. Na justification yao siku zote " ooh all men cheat una uhakika gani kama huyo mwingine hatocheat", sio kwa kujipa moyo huko khaa. I cant imagine what are we teachin our daughters, kwamba they should just stick with their abusive partners coz all men are the same? God forbid. Unasema tu my man cheats ila me siondoki, why lying to yaself? Abeg
 
Hakuna mwanaume asiyecheat hata km wapo ni 0.11%, bt mwanaume anayejitambua hata km anacheat hawezi kukuoneshea dharau hata mara moja, so achana kufatilia mumeo hata ukiachana nae huko unakoenda ubaweza ukakuta unaletewa hadi kitandani kwako.
Basi hata hiyo 0.11% imeshaweka utofauti, not all men cheat. Tuachage kuhalalisha uzinzi.
 
Jamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba
We Bwe.ge umethibitisha kuwa humpendi mumeo. Utamdhalilishaje kwa kumuwekea mtego?

Wajinga ndo waliwao. Huyo shogako kakuingiza mkenge ili uvunje ndoa yako kwa sababu kitendo cha kukushtakia ni ishara tosha kuwa hana nia njema na wewe kwa sababu alikuwa na uwezo wa kumkatalia.
 
kwanza jiulize una tatizo gani wewe mwenyewe. halafu umeingiza mkono kwenye choo mwenyewe umeyashika makimba unashangaa nini sasa? mpumbavu wewe. muache uone moto.
 
Hata hivyo huyo mume anakufaa,anatongoza sehemu moja miaka mitatu!
 
Story imekatishwa huo mtego umemkuta ameshammega shoga yako au? Kama hajammega bado basi hamna fumanizi siajabu wamekutana kwa bahati tu na kwakuwa wanafahamiana wakakaribishana vitu laini au vigumu.
Rudia andika vizuri story nzima,wako uchi,wameshamegana au wanaelekea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom