Nimemfumania mume wangu live

Nimemfumania mume wangu live

Hahahah kuna statement unazisoma and you can't stop wonder kwa nini wanaume wataendelea kututreat as if wametufanyia favor kutuoa. Unamkuta mke wa ndoa kajikatia tamaa huyo jamani mweeh. Na justification yao siku zote " ooh all men cheat una uhakika gani kama huyo mwingine hatocheat", sio kwa kujipa moyo huko khaa. I cant imagine what are we teachin our daughters, kwamba they should just stick with their abusive partners coz all men are the same? God forbid. Unasema tu my man cheats ila me siondoki, why lying to yaself? Abeg
Umeona..haka kamsemo afu kanazidi kuwapa justification wanaume kuzidi kucheat...Wako hakicheat sema my man...wasianze kugeneralize wote.
 
si ulitaka uachike sababu umeshapata sasa ondoka uone kama kesho hujakuta huyo unaemuita rafiki kahamia
 
Ila ukweli usemwe, tu rafiki twa wake tunskuwaga tutamu mnooooo! Mchezoni tunajituma siyo kawaida, hata kwenye mbigiri tunaweza kucheza peku!
shemeji naomba lifti namie naenda mjini
Hamna tabu njoo twende
Akiingia kwenye gari mala anakaa siti ya mbele huku anachekacheka
"Mmmh kiti cha Mama fulani hiki ngoja tu leo nikae hapa maana nina shida ya dharula kweli kweli "
Hamna tabu unaweza endelea kukalia viti vyake vyote ni wewe tu
"Mmh shemeji acha utani basi kiti gani kingine amabacho naweza kalia zaidi ya hiki "?
Nakaa kimya huku taratibu naondoa Gari kuelekea mjini
Tukiwa njiani tunaendelea na maada yetu
Naikumbushia kwa kumwambia unataka kujua kiti kingine ambacho unatakiwa ukikalie (nikiwa natabasamu) na kumkazia macho
Anainama chini huku akiguna mmh shemeji nawe acha masihara bana kiti gani hicho
Naendesha mkono mmoja huku mwingine nikimpapasa paja na kusema umekaa pahala sahihi kwa hiyo ni wewe tu
Anapunguza sauti huku akiuondoa mkono wangu mapajani mwake na kusema wewe ujue mi namwogopa sana mkeo
Mkono wangu uliondolewa mapajani mwake unaishia kwenye flaizi ya suruali yangu na bila ajizi naifungua flaizi na kuutoa mhogo ambao unajitokeza nje sawa sawia kisha namwambia
"karibu "
(ngoja nimalizie bia yangu nitaendelea na kisa hiki cha kweli ili nitoe fundisho kwa mfumaniaji)
Week end ndefu hii ngoja ninywe tu hakuna namna
 
Minilijua umemtega ili upate ushahidi na kisha umuache.
Kumbe umemtega ili upate ushaidi na kisha uendelee kuumia...
Sijawahi kuona mwanamke mpumbavu kama wewe aiseeee...
Yaani unamfumania kwa mtego, kisha unarudi kulala nae tena ukimfunulia mapaja, alafu unakuja hapa kutuuliza umfanyeje...
Shame on you.... Lol.... Nakushauri bora ukae kimya na uendelee kulamba matapishi yako...
 
Wanaume hatufumaniwi tunakutwa tunatoa Huduma ndio maana mwisho wake wewe ndio utaomba msamaha kwa kumkuta.

Siku nyingine usirudie kitu kama hicho jaribu kuangalia baada ya kumkita nn kitatokea sio tu unakurupuka haya MPE talaka muachane huwezi unabaki kulia lia huku mtandaoni sasa.
 
Hilo sio fumanizi ni mpango wako na huyo shogaako kumuaibisha huyo mumeo...
Wakati wa kupanga huo ujinga ungetafuta mahali ulipo kosea mpaka mumeo amtongoze huyo shogaako, pengine bi dada ndo anamtaka...
Linapokuja suala la mume usimuamini mtu, hamna anaependa kuona mume na mke wanaishi kwa amani...
 
Umemtumia rafiki yako kumfumaniaje tena wakati ulipanga na rafiki yako!?

Unashangaza kama mwanamke, sasa huyo rafiki yako ukikuta kesho amempa penzi analolitaka miaka yote utafanyaje?

Wewe kama mke ulishindwaje kuyamaliza na mume bila kumtumia rafiki yako.

Unajua wqnaume wanajua kujibu kwa visasi, unamlazimisha akubali nini tena wqkati umemfumania kama unavyodai? Umejichemshia maji ya moto.

Natabiri kumeo kufanya ambayo hata hukutegemea, kwanza umemshushia hadhi kwa kumuabisha live, na walivyo na vinyongo eeeeeh

Umeokoa kwa rafiki, subiri kupata wenzakonhata kumi na watoto wake huko nje.


Haya mambo yanataka utumie akili, kwangu mimi umechemka vibaya mno. Ungetumia njia zingine kuyazima hayo anayofanya. Unalo kama unamjua vizuri basi jaribu kujenga na sio kwenda unapiga tarumbeta kila mahala kumsema.

Usisahau kumchunga huyo rafiki yako aliyekubali kutenda mliyotenda, hakutakii mema. Angekuwa anakutakia mema angetumia njia ingine kumuonyesha kuwa amekuambia na hujui leo kaambiwaje kwa hizo dakika chache na labda kapenda ha ha haaaaa

Kila la kheri.
We mama huko Kolomije hamjambo?
 
usiwe na hofu mama..mambo haya kiuhalisia yapo..ila ni vyema nawe unitongoze mimi manake ni mshikaji wa mumeo..hapo mambo yatakuwa balanced...nasubiri...
 
Mmmh ila ulichokifanya umekosea unaanzaje kumruhusu shoga ako awe karibu na mume wako? Hata kama mume wako ana mapungufu hiyo njia uliyotumia siku nyingine ita kucost.... Mwanaume hajaribiwi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom