Nimemfumania mume wangu live

Nimemfumania mume wangu live

Hivi kuna wanaofumania recorded? Maana kila kitu live.
 
Dah.... Unaanzisha kitu usichoweza kukimalizia.... Akili ya hovyo sana
 
Wivuu wakipimbavu kumtega mumeo!hauzi kuona at a ndoa yako inaweza kusambaratika au kuingia ktk misukosuko?mwanamke mjinga uivunja ndoa yake Kwa mikono yake mwenyewe!
 
Kwa hiyo ulimtega umfuanie ili akuombe msamaha, mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake mwenyewe!!!
 
Badala ya kutumia muda mwingi kumtega mumeo ulitakiwa ujiulize kwa nini atafute mwanamke mwingine wakati wewe upo? Yawezekana chanzo ni wewe mwenyewe. Yawezekana humpatii haki yake sawasawa na mahitaji yake. Hata sasa hujachelewa mwulize kwa nini kaamua kufanya hivyo, atakupa jibu. Kisha anzia hapo kusolve changamoto hiyo.
Simtetei mtoa mada lkn dunia ya Leo wanaume wamejawa na tamaa tu na ndani anaridhishwa sana tu....
 
Alitaka kuhakikisha kuwa kile anachohisi ni kweli na amekuta ni kweli
Ok, ameshajua, then what next..??

Wenzio huwa wanafanya mafumanizi ili kupata ushahidi tu... YAANI UNAKUWA UNA MAAMUZI YAKO MKONONI YA KUACHANA.... Ukijiona unafumania halafu unakuja kuomba ushauri, JUA HUKUJIPANGA... NA WA HIVI MARA ZOTE UTWASIKIA..namwachia MUNGU..... mwachie Mungu mapema, kwenye level ya uchunguzi.

Acheni kupekuapekua ambavyo ukivikuta kweli HUWEZI FANYA LOLOTE

HALAFU KUACHANA NA MUME KWA KUKU-CHEAT ni sawa na kuikimbia nchi kisa MVUA INANYESHA...!'! It rains everywhere
 
We ulitumwaa umuwekee mtego? Unalialia nini sasa hapa si umepata ulichotaka, si ulitaka umfumanie? Haya umemfumania sasa, usilie lie hapa.
 
We ulitumwaa umuwekee mtego? Unalialia nini sasa hapa si umepata ulichotaka, si ulitaka umfumanie? Haya umemfumania sasa, usilie lie hapa.
WANATEGWA ndege, ili wakinaswa waliwe,

Wanategwa samaki ili wakinaswa waliwe

Wanategwa wanyama wa porini ili wakinaswa waliwe

Yanategwa madili ili yakinaswa, zipatikane hela

SASA YEYE KAMTEGA MUME, KANASWA...... AKAMILISHE KILICHOMFANYA AMTEGE MUMEWE...
 
Kukaa hauwezi kuondoka hauwezi"in Irene Mbowe voice...
ulipanga kumfumania huku huna kifua ili iweje?
Subiri rafikiyo anogeshe penzi ndipo utakapojua ujinga wako
 
Dada njoo na wewe huku tukukanyage, maana na Mimi ni rafiki yake wa mmeo! Dada kizuri kula na wenzio! Kwa nini usimwachie rafiki yako kipenzi naye akafaidi matunda ya Uhuru?
 
Kukaa hauwezi kuondoka hauwezi"in Irene Mbowe voice...
Fanya maamuzi ya afya!!usiondoke ukataka kurudi tena!!!
HALAFU WANAKUWAGA NA MANENO FLANI HIVI YA KUONDOKEA.... utawasikia...
1. Kwanza hata sijui nimewezaje kuwa na wewe hadi leo
2. Huna lolote mbwa wewe
3. kati ya wanaume na wewe unajihesabu?
4.... blah blah kibao..

Come six months.... yatatafutwa maneno na vikao vya kurudia
 
Pole, ila wewe uliweka mtego ili iweje. Coz kama uliweka mtego mwenyewe ulkua una malengo ulyoyakusudia baada ya hapo. Sasa unataka ushauri tena dada?
 
Ila ukweli usemwe, tu rafiki twa wake tunskuwaga tutamu mnooooo! Mchezoni tunajituma siyo kawaida, hata kwenye mbigiri tunaweza kucheza peku!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom