the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,373
haya mambo hayachunguzwi..utakuja kupata mshtuko wa moyo ukazimia ama ukajifiaWatu mnapenda kujitafutia magonjwa ya moyo
haya mambo hayachunguzwi..utakuja kupata mshtuko wa moyo ukazimia ama ukajifiaWatu mnapenda kujitafutia magonjwa ya moyo
Halafu unarudia rudia mfululizo miaka sita, wewe kila baada ya miezi mitatu unapima.. JUA UNAYAFANYA YALE YANAYOPELEKEA KUUKWAA....Ukiwaza kukutana na Simba sokoni, utakutana naye tu.
hahahaha sijaweka funga semi na fungua semi!!!your man"kilikuja kwa meli!!!Hahah mbona "my man".
Aah mbona upo sawa tu bana. Me nimeweka tu msisitizo wa nenohahahaha sijaweka funga semi na fungua semi!!!your man"kilikuja kwa meli!!!
Best huyo hana ubavu wa kumchinjia bahariniHata kama utamsamehe mfamishe kuwa hili hukulipenda.
okay!!Aah mbona upo sawa tu bana. Me nimeweka tu msisitizo wa neno
hahahaaaaHata wanaopima ukimwi kila baada ya miezi mitatu, ipo siku watakipata wanachokitafuta
nimecheka sana mkuuKabisa mwaya mana mwisho wa siku anaweza akafukuzwa huyo shoga ake ndio akawekwa ndani kwa ajili ya ujinga wake.Hilo sio fumanizi ni mpango wako na huyo shogaako kumuaibisha huyo mumeo...
Wakati wa kupanga huo ujinga ungetafuta mahali ulipo kosea mpaka mumeo amtongoze huyo shogaako, pengine bi dada ndo anamtaka...
Linapokuja suala la mume usimuamini mtu, hamna anaependa kuona mume na mke wanaishi kwa amani...
shemeji naomba lifti namie naenda mjini
Hamna tabu njoo twende
Akiingia kwenye gari mala anakaa siti ya mbele huku anachekacheka
"Mmmh kiti cha Mama fulani hiki ngoja tu leo nikae hapa maana nina shida ya dharula kweli kweli "
Hamna tabu unaweza endelea kukalia viti vyake vyote ni wewe tu
"Mmh shemeji acha utani basi kiti gani kingine amabacho naweza kalia zaidi ya hiki "?
Nakaa kimya huku taratibu naondoa Gari kuelekea mjini
Tukiwa njiani tunaendelea na maada yetu
Naikumbushia kwa kumwambia unataka kujua kiti kingine ambacho unatakiwa ukikalie (nikiwa natabasamu) na kumkazia macho
Anainama chini huku akiguna mmh shemeji nawe acha masihara bana kiti gani hicho
Naendesha mkono mmoja huku mwingine nikimpapasa paja na kusema umekaa pahala sahihi kwa hiyo ni wewe tu
Anapunguza sauti huku akiuondoa mkono wangu mapajani mwake na kusema wewe ujue mi namwogopa sana mkeo
Mkono wangu uliondolewa mapajani mwake unaishia kwenye flaizi ya suruali yangu na bila ajizi naifungua flaizi na kuutoa mhogo ambao unajitokeza nje sawa sawia kisha namwambia
"karibu "
(ngoja nimalizie bia yangu nitaendelea na kisa hiki cha kweli ili nitoe fundisho kwa mfumaniaji)
Week end ndefu hii ngoja ninywe tu hakuna namna
Kama nakuona vileKama hiyo habari unayosimulia ni ya kweli......laaah umentia hamasa bin nyege ya kutaka kujua iliendeleaje.... mlifika mjini? Mlimalizanaje? Na ulivosimulia usiache hata tukio moja ya yaliyotukia.....
Ila hapo ulipofungua zipu ya suruali mwenzako na mie huku ukanda wa katee ree roo pakatoa unyevunyevu.....
Achia hiyo bia basi umalizie jamani mwenzio nipate ahueni....
unavyopenda ubuyu!!!UmeonaeeKabisa mwaya mana mwisho wa siku anaweza akafukuzwa huyo shoga ake ndio akawekwa ndani kwa ajili ya ujinga wake.
Umemfumania au umemkuta?Jamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba
Kama nakuona vile![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unavyopenda ubuyu!!!
Siku zote amini hivyo... ...nikikuboa tu usimezee... Niambie.... Napenda sana hivyo.Hahahaa! Laiti ungekuwa wewe nisinge kunyamazia kwa sababu nakumudu.
Yaani Sakayo Sijui nikupe zawadi gani..Hilo sio fumanizi ni mpango wako na huyo shogaako kumuaibisha huyo mumeo...
Wakati wa kupanga huo ujinga ungetafuta mahali ulipo kosea mpaka mumeo amtongoze huyo shogaako, pengine bi dada ndo anamtaka...
Linapokuja suala la mume usimuamini mtu, hamna anaependa kuona mume na mke wanaishi kwa amani...