Nimemfumania mume wangu live

Nimemfumania mume wangu live

Jamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba
Ulipokuwa unaweka mtego nini hasa lilikuwa lengo lako endapo mtego ungekamata?!!
Au you were just doing it for fun? Ulitaka kuji furahisha tu.
 
wengi sana pamoja na wewe
Basi sawa hata mimi nina marafiki wengi wa kike na siwezi kusema kwamba ninaweza kuoa wote ndo maana hata huyo rafiki yangu huyo namuombea kwa Mungu apate mume ila yeye anachagua sana na kuning'ang'ania mimi ambae nataka tubakie tu na ufafiki wetu wa kawaida
 
Jamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba
Mlazimishe amuowe awe mke wa pili... Itakuwa poa sana.... kwanza rafiki yako... Hamna kufanyiana vitimbi... Full kujiachia... Ha ha ha ha.
 
Basi sawa hata mimi nina marafiki wengi wa kike na siwezi kusema kwamba ninaweza kuoa wote ndo maana hata huyo rafiki yangu huyo namuombea kwa Mungu apate mume ila yeye anachagua sana na kuning'ang'ania mimi ambae nataka tubakie tu na ufafiki wetu wa kawaida
vunja nae urafiki
 
kwa hiyo unataka kusema Mungu ni mwanaume?

Huo ni mfano Mummy.

Mimi mpenzi wangu nilimuambia asije akanijaribu kwa lolote maana atakachokipata itakuwa hasara yake kama hakujiandaa.

Na pia mimi sijawahi kufikiria kumjaribu mtu niliyekuwa naye kwenye relationship.

Kwa ujumla ni 10% wanaoshinda majaribu ya namna hii. Ukijua hili huwezi kuthubutu kumjaribu mpenzi wako ambaye pengine bado unamuhitaji
 
Huo ni mfano Mummy.

Mimi mpenzi wangu nilimuambia asije akanijaribu kwa lolote maana atakachokipata itakuwa hasara yake kama hakujiandaa.

Na pia mimi sijawahi kufikiria kumjaribu mtu niliyekuwa naye kwenye relationship.

Kwa ujumla ni 10% wanaoshinda majaribu ya namna hii. Ukijua hili huwezi kuthubutu kumjaribu mpenzi wako ambaye pengine bado unamuhitaji
sema me ukiishiwa naweza fikiria kukujaribu
 
Hebu weka na kaphotoz tuone mshangao wao,,halaf jmewafuma wanagegedana au umewafuma wanalewa bar?
 
Jamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba


sifanye chochote inabidi ushukuru tu kuwa mumeo bado anadai. Usiishi kudhania kuwa uko peke yako kwenye ndoa hapa Bongo utajidnganya bure, wewe utaenda kazini/shamabni majirani ama marafikizo ndio wanakula sahani moja na mumeo. Bongo hii, usilale mlango wazi, ohooooo!
 
Wanawake wengine bwana!!! Bichwa Kubwa akili ndogo!!!

sasa wewe wakati wote unaandaa hilo tego point yako ilikuwa moja tu akuombe msamaha!!!
 
Ila saa ingine wanawake akili zetu tunazijua wenyewe aisee
Unadhani wanapotuambia zinatutosha wenyewe wanakosea wakati mwingine kweli kabisaaa. Sasa hapo kayatafuta mwenyewe sahivi anajibaraguza kuomba ushauri kwani hakujua outcomes
 
Unadhani wanapotuambia zinatutosha wenyewe wanakosea wakati mwingine kweli kabisaaa. Sasa hapo kayatafuta mwenyewe sahivi anajibaraguza kuomba ushauri kwani hakujua outcomes
Yaani ndio ile kama uko nae karibu unaweza hata ukamzaba kibao mana huo ni ujinga wa kiwango cha hali ya juu.

Ila hapo ndio akome.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom