The mountain lion
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,153
- 418
Kama wewe ni wa kwetu kaskazini samehe tuuu maana hiyo ni kawaida sana....
Nyambafu kabisa.Tamaduni gani sasa hizo?
Kama wewe ni wa kwetu kaskazini samehe tuuu maana hiyo ni kawaida sana....
​inakera sana kuona mwanaume kamili kuona matukio kama hayo afu anakuja kuomba ushauri kwenye mitandao.............mleta mada umeniudhi
Baba yako mpo naye hapo kwako, au huwa anakuja tu na kuondoka siku moja moja?
Hata kama utaona inafaa kuachana nae, jitahidi kujichunguza /kujitathimini. Huenda wewe ni tatizo pia na ndio chazo cha hicho Kilichotokea.
Huwa nasikia hii habari lakini sina uhakika kama ni story za vijiweni au la. Inasemekana hutokea kwa vijana wanaoacha wake zao migombani wakati wao wapo mijini kutafuta pesa. Inawezekana ilikuwa mila ya zamani baadhi ya maeneo uchagani.
Mwenye uhakika atujuze.
Bora mkeo azae na baba yako kuliko azae na mtu baki..... at least utakuwa unamlea mwanao aliye mdogo wako pia. :welcome:Pengine nyie ni wachagga;
Pole sana.
Sijui kama nakumbuka vizuri, wanasema ukikuta hivyo unatakiwa ufunge mdomo;
Sijui vizuri Asprin njoo useme, miss chagga?
Hata kama utaona inafaa kuachana nae, jitahidi kujichunguza /kujitathimini. Huenda wewe ni tatizo pia na ndio chazo cha hicho Kilichotokea.
aiseee kwa mila zetu si wengine kutembea au kuchoneka alipochoneka baba yako nikujitafutia matatizo ni sawasawa na kutembea na mamayako mzazi aiseee hapo toka ndukiiiii.