Nimemfumania mke wangu na baba mkwe, nifanyaje?

Nimemfumania mke wangu na baba mkwe, nifanyaje?

Sasa unachukia nini wakati mkeo yuko na baba yake mzazi..au mi sijaelewa?
 
babamkwe wa mkeo..that means babako, right?

Unauliza ufanyeje? mfuate babako mwambie next time akitaka kufanya hivyo asimkunje sana mkeo..mdanganye mbavu za mkeo zina hitilafu so anaweza kumuumiza...sugget next time watumie conventional style

Nonsense!
 
aiseee kwa mila zetu si wengine kutembea au kuchoneka alipochoneka baba yako nikujitafutia matatizo ni sawasawa na kutembea na mamayako mzazi aiseee hapo toka ndukiiiii.

Na huyo baba yako utaendelea kumsalimia au
 
Kwa wachaga hiyo kawaida!
Jaribu kuchunguza kabla hujaoa baba AKO ALIKUWA anatoka nae

Huwa nasikia hii habari lakini sina uhakika kama ni story za vijiweni au la. Inasemekana hutokea kwa vijana wanaoacha wake zao migombani wakati wao wapo mijini kutafuta pesa. Inawezekana ilikuwa mila ya zamani baadhi ya maeneo uchagani.
Mwenye uhakika atujuze.
 
Hapo baba yako akimpa mimba mkeo sijui mtoto atakuita baba mdogo au kaka...😛
 
Nonsense!

safi kabisa mkuu...I didnt know you are clever enough to realize non-sense when it is under your nose!!

Sasa niambie..hivi mwanamme akipata tatizo kama hilo akashindwa kulifanyia kazi on the spot..akalimwaga katika jamii imsaidie kutafuta ufumbuzi kwako ni "sensible?"

Kuna aina fulani ya tatizo linapokupata you dont consult, you dont beg, you dont coerce, you dont plead and you dont ask for advice...you just ACT!!!! (I dont mean chama cha Agizo la Chama Tawala) I mean "do something"

Otherwise lets follow GIGO (Garbage In Garbage Out)
 
muhifadhi baba kwa mlango wa mielezi,muachie mkeo,ww nenda zako ,tena muoneshe baba upendo wa juu,mkeo kwa sasa muite mamdogo,maliza hilo kwa hekima hakika utazidishiwa zaidi ya hekima ,utaona baadae ni nn,MUNGU ANAONA,kuna matatizo mengine hadi unatetemeka kuyasikia moja wapo ni lako
 
wake zetu nao wamezidi mitego hawaoni shida tembea uchi mbele ya wakwe ila dingi nae duuuuu kaamua kumbushia ujana
 
Mtoa mada hebu funguka vizuri huyo 'baba mkwe' ni baba yako au baba wa mkeo!?
 
​inakera sana kuona mwanaume kamili kuona matukio kama hayo afu anakuja kuomba ushauri kwenye mitandao.............mleta mada umeniudhi
 
mmh watu siku hizi wana ujasiri wa ajabu......
 
Usinzi = uzinzi.

Pole sana kaka. Ila hapo unaposema baba mkwe wake ina maana ni baba yako?

Dah hapa ndipo ninapozikumbuka zile busara za wazazi wetu..... wazee wa zamani hili lingetatuliwa pasipo hata paka wa jirani kujua.

Jipe moyo mtafute mzee mtu mzima sana ambaye unamheshimu na unajua kuwa baba yako anaheshimiana nae pia. Mweleze mwombe akushauri. Ni ngumu kumeza hii hata bestman hafui dafu hapa.
 
Back
Top Bottom