contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
Amegoma kumwita baba, amegoma kuamini baba yake anaweza akawa hana mapenzi naye kiasi hiki, amegoma kusadiki kuwa baba yake si mwanadamu bali mnyama mwenye roho ya shetani, hakika huyu ni baba mkwe wa mkewe asiye na mahusiano naye kabisa.itakuwa mikono ilitetemeka kwa hasira mpaka ikashindwa kuandika "baba yangu mzazi"