Wa kijijini siyo (Mamndenyi) ni siri ya ndaniPengine nyie ni wachagga;
Pole sana.
Sijui kama nakumbuka vizuri, wanasema ukikuta hivyo unatakiwa ufunge mdomo;
Sijui vizuri Asprin njoo useme, miss chagga?
VERY GOOD URGUMENT, Inkhubu!A serious guy when faced with such a problem decides what to do within one minute of realizing what is going on between the two..and that decision is marriage termination
His very act of asking for some advice means that he believes there are a multiple of solutions to such an unexplainable misconduct..so lets dance to his tune us give him some alternatives!!!!!
Pole sana, umepata pigo sio dogo, ni bora hata angekua mtu mwingine sio baba yako. Pata nafasi kwanza ya kuwa kimya na utulie na kutafakari, waone wazee wenye hekima wakushauri, au kiongozi wako wako wa kanisa au msikiti. Zeni rudi kaa na mkeo muongee, badae na baba, ila utajua vizuri nini cha kufanya baada ya kupata mashauri kwa hao watu.
Usiombe yakukute sikia tu.
Hilo sio swala la kuendekeza kama umehakikisha mpe talaka kimya kimya.ukiweka vikao vingi ni kujidhalilisha wewe na wazazi wako.uliona au unasikia tu?kumbuka hata vitabu vya dini vinaruhusu talaka kwa uzinzi.
Sawa lakini kumbuka msamaha upo na tunapaswa kusamehe hata kama kosa lina uzito kiasi gani, maadam tu muhusika amekiri kosa, hivyo kama mkewe na baba wameomba msamaha anapaswa kusamehe maana haya ni maisha tu hujui kesho itakaa vipi. Anaweza mpa talaka akabaki na majuto until the end of his life.
Neno MSAMAHA LINA NGUVU SANA, hivyo kama watamuomba msamaha, awasamehe tu ili awe na amani forever. Asiposamehe itamgharimu
huu ushauri mwingine huu
hapana mkuu, kumbuka mke wake ni mama yake mzazi, ni laana iliyopitiliza.
Ushauri wangu jamaa amfuate mama mkwe wake amle, ili mkewe imuume halafu baada ya hapo kila mtu kivyakeeeeeeee
Muombe Mungu yasikukute.......baba yako mzazi? msamaha ulitukuka ni kila mmoja na njia yake.....kimya kimya.
Pole sana mimi nimtaalam wa masuala ya Ndoa na Mahusiano ila kabla sijakushauri hebu niambie ulipomuona ulifanya nini?Sio rahisi kuamini nashangaa, sina amani maishani mwangu baada ya kukuta mke wangu anafanya usinzi na baba mkwe wake. Kwakweli nilishitshwa kuona hali kama hii, hakika ndio muda wa kiama huu.
Naombeni ushauri