Nimemfumania mke wangu na baba mkwe, nifanyaje?

Nimemfumania mke wangu na baba mkwe, nifanyaje?

Sio rahisi kuamini nashangaa, sina amani maishani mwangu baada ya kukuta mke wangu anafanya usinzi na baba mkwe wake. Kwakweli nilishitshwa kuona hali kama hii, hakika ndio muda wa kiama huu.

Naombeni ushauri

kwa wanyarwanda ni kitu cha kawaida ili ukoo usipotee, au na wewe unatoka pande hizo?
 
Baba siyo baba yake mzazi bali baba wa mke wake ameamua kumfaidi mwanaye wa kumzaa
 
mi sishangai sana mkumfumania baba yako kutokana nakabila le mkiwa kama wanyalwanda. watusi na baadhi ya makabila ni swala la kawaida ila kwa sisi WASUKUMA ninge muachia baba aowe mi nikaowe mwingine atoe ng'ombe tena
 
Anajipooza bhana ebu muache afaidi watoto wabichi hao bado damu inachemka, pia mshauri uyo baba mkwe achane na vibibi
 
pole mkuu,mke utamuacha na baba utamfanyaje?kama baba ndio tabia yake ya uzinzi hata ukioa tena bado atakuchapia tena,piga chini wote baba pamoja na mke maana huyo baba nae wala hafai kupewa heshima ya ubaba.
 
ushauri gani? unataka kutembea na mama mkwe au? ukiona waweza vumilia yakikushinda sababu ya kumuacha unayo wataka nn tena??
 
Sio rahisi kuamini nashangaa, sina amani maishani mwangu baada ya kukuta mke wangu anafanya uzinzi na baba mkwe wake. Kwa kweli nilishtushwa kuona hali kama hii, hakika ndio muda wa kiama huu.

Naombeni ushauri
Poleeee mkuu kama vp kama mama mkwe yupo vereee nawe mpande iwe ngoma drooo pole lakini
 
inasikitisha sana aiseee cha kufanya ndugu yangu watafute wazee waongee na baba yako kwani kitendo alichofanya sio chema kabisa na mila na tamaduni za mwafrika haziko hivyo labda mila zinginezo ila ni aibu na fedheha kwenye ukoo wenu na endapo mama yako akijua itakuwaje? pole sana
 
Sio rahisi kuamini nashangaa, sina amani maishani mwangu baada ya kukuta mke wangu anafanya uzinzi na baba mkwe wake. Kwa kweli nilishtushwa kuona hali kama hii, hakika ndio muda wa kiama huu.

Naombeni ushauri
Inamaana baba yako?
 
Back
Top Bottom