Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,549
- 49,425
Iko wazi kabisa.Inategemea usisome kipande kimoja biblia sio gazeti
Laana yake wewe haikuhusu
Iko wazi kabisa.Inategemea usisome kipande kimoja biblia sio gazeti
Unaona Mlivyopumbazwa na Akili zenu zilivyoharibika. Wachina Wanatengeneza Simu naHawaijui Hata Hiyo Biblia yakoHujasoma biblia ukaielewa ndomana unajiropokea tu, Soma biblia maana ndochanzo cha maalifa vitu vyote unavyoona duniani vinagunduliwa simu, intanet, ndege, satellite vyote vimeandikwa na maarifa yote wanachukua kwenye vitabu vya dini
Nimekwambia kwenye vitabu vya dini sio biblia peke ake maana ake hata wao wanachukua maarifa kwenye dini zao au wanasoma vitabu vya dini yoyote ili kuiba maarifa ya ugunduziUnaona Mlivyopumbazwa na Akili zenu zilivyoharibika. Wachina Wanatengeneza Simu naHawaijui Hata Hiyo Biblia yako
Amina!Mpuuzi mkubwa, ulaniwe
Laana inaweza lisi pia kizazi hadi kizazi ndugu usikataeIko wazi kabisa.
Laana yake wewe haikuhusu
Heri ya mti unaonekana, maana unaweza kumpa kivuli, matunda, dawa, kuni, mbao, nk...Kuabudu mti wewe unaona akili ipo sawasawa. Unaabudu kitu ambacho naweza kwenda kukata na Shoka likawa kuni ya kupikia
Mbona kidumu cha maji kimejitokeza ghafla sana?Samahani sikuweza kumpiga picha angeniona.
Kweli mnaweza mkawa Familia moja mkidhani ni watu wa dini lakini kuna mmoja yupo tofauti. Ni kaka etu wa kwanza kwenye Familia nimeshuhudia kwa macho yangu katika kipindi hiki nipo kijijini, nilipotoka kanisani ikabidi nichukue baiskel kwenda shambani lakini nilipofika shambani sikumkuta. Nikafikiri labda yupo ndani ya shamba ngoja nimuangalie.
Nilipoona mzigo nyuma umenilemea niliingia polini na kidumu cha maji kwenda kuushusha, lahaulaah!
Sikuamini macho yangu ni kaka angu kabisa anainama na kuinuka huku akisujudu mti. Nikaona sio kweli ikabidi nijifiche ila nilichokishuhudia nikajua kumbe ndomambo yake sisi jumapil kila tukienda kanisani yeye huwa anasema naenda shambani kumbe ana ibada zake za kipumbavu.
Sasa najipanga namna yakuliweka wazi hili swala mbele ya baba na mama ilikusudi tusije Pata laana kizazi na kizazi mbele ya Mwenyezi Mungu
Ni mengi sana nikianza kueleza nitamaliza baada ya miongo mitatuHapo hapo tupe ushuhuda wa mungu wako kukujibu maombi
Sure aone jinsi ngozi nyeusi zinaabudu mitiNatamani kila mwafrika asome hii comment kwa utulivu kabisa nahisi hatotoka kapa..
Kivipi kwani hii ni series au episodi mkuu,Mbona kidumu cha maji kimejitokeza ghafla sana?
Nikuache ulivyoHeri ya mti unaonekana, maana unaweza kumpa kivuli, matunda, dawa, kuni, mbao, nk...
Kuliko wale waabudio Madubwana ya kujitengenezea Vichwani mwao, na kuyapa Sifa za Binadamu zilizokwezwa maradufu.
Hao wanahitaji msaada zaidi.
Hebu Lete Ushahidi kwamba Ugunduzi wa Simu unatokana na Vitabu vya Dini? Au msitari wowote wa Vitabu vya Dini yeyote ya Duniani inayofafanua Ugunduzi wa Simu ?Nimekwambia kwenye vitabu vya dini sio biblia peke ake maana ake hata wao wanachukua maarifa kwenye dini zao au wanasoma vitabu vya dini yoyote ili kuiba maarifa ya ugunduzi
YESU ni MUNGU sio mwanadamuKama unavyomshangaa kaka yako kuabudu anavyoabudu, mimi nakushngaa wewe kuabudu binaadam mwenzio.
Yesu, alayhi salaam, ni Muislam.
Wacha kujidanganywa na kudanganywa kijinga.YESU ni MUNGU sio mwanadamu
Soma biblia. Hiyo sehemu ipoWacha kujidanganywa na kudanganywa kijinga.
Wapi Yesu kasema "Mimi Mungu" au "Niabuduni"?
Yeah sure, wewe Dada una akili sana ningekuowa Sema umri umeendaYESU ni MUNGU sio mwanadamu