Nimemfuma kaka yangu anaabudu mizimu

Nimemfuma kaka yangu anaabudu mizimu

Ushatoka lindi mkuu? Maana kila siku uko sehem mpya. Tunasema hivi, malizia uzi wako wa ile safari ndo tutaanza kuona uko serious
Baada ya kidagaa kumshusha nakumrudishia nauli ghafla mavi yakamshika andio akakutana na kaka yake Anabudu mizimu [emoji16]itaendelea...
 
Basi Usiende Kanisani maana Yesu alitolewa Sadaka kwa Ajili yenu.
Mungu wao alishindwa kumuua shetani, akaona njia ni kumtoa kafara mwanae. Na kwa bahati mbaya haijasaidia kitu mpaka Leo, kadri siku zinavyozidi kwenda Dunia inazidi kuwa ovu, ajabu Makanisa na Misikiti inachipua kwa kasi, lakini kazi bure, haina msaada zaidi ya kuchochea uovu tu.
 
Samahani sikuweza kumpiga picha angeniona.

Kweli mnaweza mkawa Familia moja mkidhani ni watu wa dini lakini Kuna mmoja yupo tofauti. Ni kaka etu wa kwanza kwenye Familia nimeshuhudia kwa macho yangu katika kipindi hiki nipo kijijini, nilipotoka kanisani ikabidi nichukue baiskel kwenda shambani lakini nilipofika shambani sikumkuta. Nikafikli labda yupo ndani ya shamba ngoja nimuangalie.

Nilipoona mzigo nyuma umenilemea niliingia polini na kidumu cha maji kwenda kuushusha, lahaulaah!

Sikuamini macho yangu ni kaka angu kabisa anainama na kuinuka huku akisujudu mti. Nikaona sio kweli ikabidi nijifiche ila nilichokishuhudia nikajua kumbe ndomambo yake sisi jumapil kila tukienda kanisani yeye huwa anasema naenda shambani kumbe ana ibada zake za kipumbavu.

Sasa najipanga namna yakuliweka wazi hili swala mbele ya baba na mama ilikusudi tusije Pata laana kizazi na kizazi mbele ya Mwenyezi Mungu
Looh. Huo muingilio yaani na wewe pia ulikuwa unaenda kujisaidia kwenye mti anaoabudia kakaako. What a concidence. Isije kuwa alikuwahi unaona wivu tuuu.

Fanya mambo yako achana na ya wengine. Kiherehere chako kumtafuta nyumbani, nje na ndani ya shamba hadi porini kote huko shida nini? Pia jifunze matumizi ya choo sio kujisaidia choo kubwa vichakani.
 
Mungu wao alishindwa kumuua shetani, akaona njia ni kumtoa kafara mwanae. Na kwa bahati mbaya haijasaidia kitu mpaka Leo, kadri siku zinavyozidi kwenda Dunia inazidi kuwa ovu, ajabu Makanisa na Misikiti inachipua kwa kasi, lakini kazi bure, haina msaada zaidi ya kuchochea uovu tu.
Hakuna ukweli huko... Ukiona hospital nyingi ila wagonjwa hawapungui jua biashara imeshaingia hapo
 
Mungu wao alishindwa kumuua shetani, akaona njia ni kumtoa kafara mwanae. Na kwa bahati mbaya haijasaidia kitu mpaka Leo, kadri siku zinavyozidi kwenda Dunia inazidi kuwa ovu, ajabu Makanisa na Misikiti inachipua kwa kasi, lakini kazi bure, haina msaada zaidi ya kuchochea uovu tu.
Mpuuzi mkubwa, ulaniwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom