Maandiko yote matakatifu (Quran na Biblia) yanaagiza kumwabudu Mungu peke yake na sio kingine.
Ipo miungu mingine wanadamu (wazungu, sisi waafrika, waarabu, wachina japanesse etc) wamekuwa wakiiabudu miaka na miaka.
Binadamu aliumbwa kwa namna ya kuhitaji muunganiko wa nguvu kutoka rohoni utakao msapoti aweze kukamilisha au kufanya mambo yake mfano biashara, kilimo, siasa, viwanda etc.
Mizimu ni roho za kuzimu means hazitoki kwa Mungu. Mizimu ni moja ya spritual help and saport ambayo wanadamu wamekuwa wakiitumia kukafanikisha mambo yao.
Yes and is true watu wanafanikiwa sana kutokana na kuabudu mizimu. Kuna koo au mataifa yanafanya vizuri mno when it comes to wealth, education, bussness and politics achievement.
Mnaweza kuwa mna struggle ku achieve jambo au mna compete kupata kitu kilekile na mwingine lakn mwenzako anakupiga mbonge la gape. Kumbe behind the scene kuna spritual help ina mpush.
Kama nilivyosema, kuabudu mizimu ni moja ya njia za kutafuta usaidizi wa nguvu za rohoni. Yes utazipata lakini kuna price you must pay and one of them ni kuiabudu mizimu hiyo na ndani ya ibaada hizo hujumuisha utaoji kafara ( wanyama, mazao na binadamu). Lazima utoe kitu in exchange. Nipe nikupe.
Hatari nyingine ya kuabudu mizimu ni pale inapokiuka masharti. Kuna utaratibu utatakiwa kuufata maisha yako yote. The moment unageuka kuna revenge za balaa huibuka na hizi huwakumba hata waliokuwa hawajihusishi as long as are ralated and connected na huo ukoo.
Hatari kubwa zaidi ya zote ni kwamba humwabudu Mungu wa kweli anayepaswa kuabudiwa.
Mtoa mada upo sahihi kumzuia ndugu yako dhidi ya hicho anachokifanya. Lakini pia unatakiwa ujue ni njia gani sahihi ya kumtoa huko.