Nimemfuma kaka yangu anaabudu mizimu

Nimemfuma kaka yangu anaabudu mizimu

Kwani wewe kinachokuuma nini amini unacho amini sio kuita wenzio wapumbavu kila mtu na imani yake hata ukimsema haina faida yoyote kwani kashakua na mapenzi ya kuabudu mizimu hata mkimpereka kanisani kwa lazima atakubari ila moyoni utabaki mzimu so fata yako yake hayakuhusu kila mtu ana haki ya kuamini anacho amini
Tunaenda kumshitaki
 
Mi kuna nguo ukiona nimevaa jua naenda kwa mganga. Ukiona nimevaa shati la satin la orange au jeusi jua siku hiyo inaenda kuongezwa hirizi nyingine.
 
Samahani sikuweza kumpiga picha angeniona.

Kweli mnaweza mkawa Familia moja mkidhani ni watu wa dini lakini Kuna mmoja yupo tofauti. Ni kaka etu wa kwanza kwenye Familia nimeshuhudia kwa macho yangu katika kipindi hiki nipo kijijini, nilipotoka kanisani ikabidi nichukue baiskel kwenda shambani lakini nilipofika shambani sikumkuta. Nikafikli labda yupo ndani ya shamba ngoja nimuangalie.

Nilipoona mzigo nyuma umenilemea niliingia polini na kidumu cha maji kwenda kuushusha, lahaulaah!

Sikuamini macho yangu ni kaka angu kabisa anainama na kuinuka huku akisujudu mti. Nikaona sio kweli ikabidi nijifiche ila nilichokishuhudia nikajua kumbe ndomambo yake sisi jumapil kila tukienda kanisani yeye huwa anasema naenda shambani kumbe ana ibada zake za kipumbavu.

Sasa najipanga namna yakuliweka wazi hili swala mbele ya baba na mama ilikusudi tusije Pata laana kizazi na kizazi mbele ya Mwenyezi Mungu
Mwambie mama ba mdingi fasta atawaua huyo shetani mbaya kamuingia..
 
Aisee watu waliokulia imani flani ni ngumu kutochangama na mabo hayo. Mimi nimetoka kwenye familia ya kichaga watu bado wana imani za mizimu na huku wanaenda kanisani. Nishaona Tanga watu wanasoma kisomo cha Koran wanaisomea mizimu, kisha wanachinja na kufanya matambiko. Sharti kila kilichopikwa ni marufuku kwenda nacho nyumbani, lazima kiliwe sehemu iliyokuwa inaabudiwa. .

Mdogo wangu akiwa mdogo alipelekwa mwananyamala kwa kuingiza mbegu ya chungwa puani. Madaktari walichoma sindani mishipa yote ili mtoto apige chafya lakini wapi. Alikuwa anapumua kwa shida sana madaktari walipambana sana. Mzee kuona haieleweki akatoka nje ya hospital, akatema mate chini na kuomba mzimu kwa kichaga "vameku na vasheku va kasha, ngivaitereveni.....". Mzee kuingia wodini kumshika mtoto kapiga chafya mbegu kule 🙂
wale madaktari walishangaa sana ila ndo ikawa hivyo.

Ila Mungu anaweza, na vijawa wamtafute kwa kuwa Mungu anafanya miujiza mikubwa zaidi. Roho wa Bwana ametenda makuu mengi zaidi ya haya, nimeona hili kupitia mke wangu. Bwana ni Mwema siku zote, msiache kumsihi. .
Wewe ni Mrombo wa Mengwe, mamsera au Manda.
"Vameeku na vasheku vakasha" noma sana iyo
 
Samahani sikuweza kumpiga picha angeniona.

Kweli mnaweza mkawa Familia moja mkidhani ni watu wa dini lakini Kuna mmoja yupo tofauti. Ni kaka etu wa kwanza kwenye Familia nimeshuhudia kwa macho yangu katika kipindi hiki nipo kijijini, nilipotoka kanisani ikabidi nichukue baiskel kwenda shambani lakini nilipofika shambani sikumkuta. Nikafikli labda yupo ndani ya shamba ngoja nimuangalie.

Nilipoona mzigo nyuma umenilemea niliingia polini na kidumu cha maji kwenda kuushusha, lahaulaah!

Sikuamini macho yangu ni kaka angu kabisa anainama na kuinuka huku akisujudu mti. Nikaona sio kweli ikabidi nijifiche ila nilichokishuhudia nikajua kumbe ndomambo yake sisi jumapil kila tukienda kanisani yeye huwa anasema naenda shambani kumbe ana ibada zake za kipumbavu.

Sasa najipanga namna yakuliweka wazi hili swala mbele ya baba na mama ilikusudi tusije Pata laana kizazi na kizazi mbele ya Mwenyezi Mungu
Hizo ndiyo inabada halisi,nyie wa kanisani mmelishwa limbwata la wazungu na akili yenu imechukuliwa.Mpwayungu Mzee wa chai kama Mpwayungu Mzee wa chai bila kitafunwa.
 
Mwishoe uje kuumwa nyoka kufata watu maporini mkuu!
Abraham na hata Yesu mbona walikuwa wanaenda juu milimani kuabudu? Hata Mussa alikuwa anapanda mlimani.Kwa upande wa Yesu nakumbuka tukio like ambapo Simon Petero anasema tujenge vibanda vitatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom