Lord Sauron
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 224
- 170
Mkuu, sema "sikutaka kumchezea kipindi namchumbia"====
Umekosa point.... sikupenda kumchezea kipindi namtongoza lengo langu lilikuwa kumuoa
Mkuu, sema "sikutaka kumchezea kipindi namchumbia"====
Umekosa point.... sikupenda kumchezea kipindi namtongoza lengo langu lilikuwa kumuoa
Duh haya naona umempa za shingo.Acha uongo wewe,kama unadhan kutumia jina la dokta humu JF ndo utampata wanawake umejidanganya.
Hakuna dokta asiye na siri kama wewe. Hujui miiko ya kidokta. Usichafue fani za watu
Wanafanya sana huo uchafu baadhi yao.Kumbe huwa mnawachezea na kuwavunjia heshima wagonjwa wa kike mnaowafanyia upasuaji!
wa hapahapa vipi unasemaje kuhusu huu uzi wetu ukilinganisha na yule Dr. Maneno wa Moshi Co-operative University? hahahaha, nakuita pia Mentor, Frank Wanjiru
Dr hapo umechemka, operation inahusiana nini na mambo yenu ya mapenz!Hii Dunia ina mambo kabisa,
Kuna binti amekuwa akinikataa kwa muda mrefu sana amekuwa akinikataa kwamba sifit vigezo vya kumuoa. Nilimpenda sana hadi basi but ikashindikana hadi ikanibidi nioe mke mwingine.
Baada ya miaka kadhaa jana nikapangiwa kumfanyia operation mwanamke baasi paap namkuta ni yuleyule aliyeninyanyasa.
Basi baada ya nurse kumaliza kumuandaa nikafika kumuona huyo mgonjwa iliniuma sana kwani pamoja ya kwamba nilimpenda lakini sikutaka kumchezea au kumvunjia heshima. Nikamuuliza kama anaamani kufanyiwa operation nami akanijibu nakuamini endelea tu.
Mungu amjaalie afya njema.
============================
Nadhani watu wengi mnashindwa kuelewa maana ya maadili. Maadili katika kazi zetu ni pamoja na kuhakikisha taarifa za mgonjwa na ugonjwa wake unabaki kuwa siri ya daktari husika mpaka pale mgonjwa atakapo ruhusu vinginevyo. Kusema huyu mgonjwa ni ndugu yangu au mke wangu sio katika kukosa maadili. kusema kwamba nilipoingia kumhudumia nilijihisi uncomfortable sio kukosa maadili.
lamwisho, msidhani kwamba madaktari wote tunasahau habari zote za mgonjwa mara baada ya kumhudumia. sio kweli, wapo wadaktari ambao huendelea kuwa na contact na wagonjwa na wengine huendelea kuwa na mahusiano baada ya kuwahudumia vizuri. wapo wagonjwa wakishahudumiwa vizuri hulazimisha kila akija hospitali ahudumiwe na the same doctor. Na wakati wmingine wapo wagonjwa ambao huwasumbua madaktari ambao waliwahudumia vizuri . so kama una mke wako anakuambia kila siku anaenda kwa dr.flani kuwa makini fuatilia.
======
kwa wale ambao mnaweza kusoma naomba msome kitabu cha Ben Carson "Gifted hands " ndani yake kuna simulizi nyingi sana ambazo zinahusu jinsi alivyohudumia wagonjwa wake.... sijuwi kama mnaweza kusema hajui ethical codes...
una maana gani kusema na nyie ni binadamu?Nilikuwa najisikia vibaya kumuona maeneo yake mtu ambaye akiwa mzima hakutaka niyaone. Hili ni sawa ukitakiwa umfanyie operation mama au dada yako. sio kazi rahisi mjue nasi ni binadamu.
na wewe nadhani hujamwelewa, anasema alitaka kumuoa ila akaambiwa hakidhi vigezo vya kumuoa. swali lafaa liwe; kumbeNadhani hujamwelewa.
Anasema, alitaka kumuoa, hakutaka kumchezea. Swali lafaa liwe kumbe wanaume wengine huchezeapo tu mabinti bila kuwaoa?
Huwezi kufanya huo ujinga hata mara moja, upasuaji unafanywa na team ya watu tofauti wa jinsia tofauti so kua na amani ndugu usisikilize maneno ya mtaani.Wanafanya sana huo uchafu baadhi yao.
[emoji23] [emoji23] umetishaDoctor hawa wanaokusema hawajui tu, nawe ni binadamu eti....
Miaka hiyo enzi hizo, hospital flani nilifanyiwa operation ndogo na doctor mmoja, siku ya kwanza tu kumuona pale hospital akiwa na koti jeupe na stethescope nilihisi kulegea magoti mapenzi yana nguvu, yani nipo kwenye kitanda cha operation akili ipo kwingine teh.....hadithi ikaishia hapo huyo doctor kwa sasa ndo mme wangu tuna mtoto mmoja
Watu kwa story za vijiweni hawajamboHuwezi kufanya huo ujinga hata mara moja, upasuaji unafanywa na team ya watu tofauti wa jinsia tofauti so kua na amani ndugu usisikilize maneno ya mtaani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha uongo wewe,kama unadhan kutumia jina la dokta humu JF ndo utampata wanawake umejidanganya.
Hakuna dokta asiye na siri kama wewe. Hujui miiko ya kidokta. Usichafue fani za watu
Samahani mkuu, naomba nisaidie, hapo ametoa siri gani? Maana mpaka muda huu, nimesoma michango ya wengi, ila bado sijajua hiyo siri ! Ila naona jamaa ameongelea suala lake binafsi. Msaada tafadhali.Ñnavyojua mimi dr huwa hasem sir ya mgonjwa ilitakiwa ibak kuwa sir yako kama ulimpenda au hukumpenda hyo ilikua sir yako
Hata Mimi nimeelewa hivyo, sijaona tatizo.Kakosea wapi mbona nasoma ila naona kawasilisha tu mawazo ya hisia zake kama mtu mwingine yoyote. Na hajatoa siri za mgonjwa
Samahani mkuu, naomba nisaidie, hapo ametoa siri gani? Maana mpaka muda huu, nimesoma michango ya wengi, ila bado sijajua hiyo siri ! Ila naona jamaa ameongelea suala lake binafsi. Msaada tafadhali.
Samahani mkuu, naomba nisaidie, hapo ametoa siri gani? Maana mpaka muda huu, nimesoma michango ya wengi, ila bado sijajua hiyo siri ! Ila naona jamaa ameongelea suala lake binafsi. Msaada tafadhali.