duh hawa mapoyoyo wa kariakoo kumbe huwa wanawaza wanawake!?Unataka wanawake wote wakukubalie? operation hiyo hujafanya kwa hisani mbali unalipwa mshahara, fanyakazi na usiwaze wanawake kama UVCCM.
===Kwa hili umekosa sifa za kuwa Daktari. Unawezaje kufanya hili. Nikiwa kama Daktari nalaani kitendo hiki.
==== Nenda kasome Gifted hands ya successful neurosurgeon Ben Carson alafu ulinganishe na nilichoandika mimi. Why ameruhusiwa kupublish kitabu chake?.... Mimi nimekuwa kwenye industry muda mrefu pia nimefanya research nyingi. Ethical codes zinakataza kutoa siri za mgonjwa au siri au identity za subjects wako. But ukisema kwamba kati ya wagonjwa mia moja waliofika muhimbili 50 ni positive katika ugonjwa flani sio kosa. tatizo lenu mnasoma bila kuelimika mwishowe mnadhani kila kitu kosa.Unajua kua daktari inabidi uwe unareview materials kiaina sio kubweteka tu, mfano Oxford American Handbook of Clinical examination and practical skills, page ya 3 nanukuu paragraph "This rule also applies to friends outside of medicine. As care providers, we come across many amazing, bizarre, amusing, or uplifting stories on a day-to-day basis, but like any other kind of information, these
should not be shared with anyone. " Sasa usikubari kuteleza tena siku nyingine mkuu!
Ulisemalo lina ukweli.===mawazo mabaya hayo. kwanza tukiwa pale tunakuwa kama team sasa huo muda mtu atapata wapi?
Cku hizi madaktari wa namna hii n wengi sana,wanawatafuna sana wake zetu.mandokwa wewe daktari wa daraja gani, nini lengo la thread hii. We ni A.M.O? Huna maadili,nadhani ndo maana huyo dada alikupiga chini. Nitawasilisha hili kwa viongozi wa MCT,Dr Kahonga na Matuzya.