Nimemfanyia upasuaji mwanamke aliyenikataa

Nimemfanyia upasuaji mwanamke aliyenikataa

The policy is designed to help physicians understand their legal and professional obligations to maintain patient confidentiality.

Huyo dada kama yumo humu akiamua kulala mbele nawe umeenda na maji.
===
Jenga kesi yako hapa ni ipi? sio unaongea nadharia. Onyesha kipi kimeconstitute kwenye wrong act? confidentiality ni katika level ipi? ningesema mgonjwa fulani alikuwa anaumwa hiki na kile nikamfanya hiki na kile hapo nimevunja confidentiality. Kusema kwamba niliomba concent yake kama nimhudumie hiyo ipo kwenye ethic code soma item 4.2.
hapo sema kosa lipi? kusema kwamba I operated nilitaka kumuoa? shame on you hutumii akili yako kujudge
 
Amekupa ruhusa ya kuja kumuanika huku!? Nakupa tahadhari kwamba JF ni kubwa sana hujui nani yumo humu na nani hayumo. Hii tabia ya kuja kuwaanika wagonjwa wako hadharani inaweza kabisa kuja kukutokea puani. Achana nayo kabisa.

===
Jenga kesi yako hapa ni ipi? sio unaongea nadharia. Onyesha kipi kimeconstitute kwenye wrong act? confidentiality ni katika level ipi? ningesema mgonjwa fulani alikuwa anaumwa hiki na kile nikamfanya hiki na kile hapo nimevunja confidentiality. Kusema kwamba niliomba concent yake kama nimhudumie hiyo ipo kwenye ethic code soma item 4.2.
hapo sema kosa lipi? kusema kwamba I operated nilitaka kumuoa? shame on you hutumii akili yako kujudge
 
Amekupa ruhusa ya kuja kumuanika huku!? Nakupa tahadhari kwamba JF ni kubwa sana hujui nani yumo humu na nani hayumo. Hii tabia ya kuja kuwaanika wagonjwa wako hadharani inaweza kabisa kuja kukutokea puani. Achana nayo kabisa.
=== angalau umejibu. je kaanikwa lipi? niliyejianika ni mimi kwamba I felt the situation but hakuna baya kuhusu yeye. umeliona hapa? pia sikureveal identity kwa mtu huko kungekuwa kuanikwa.... jiongeze mkuu
 
Kiburi kitakupeleka pabaya ole wako. Mwenyewe akiona hii unadhani atapenda? Jua mipaka yako kama doctor.

Confidentiality is considered to be central to the trust between doctors and patients and doctors are held responsible by their professional bodies for protecting personal information that patients share with them.

=== angalau umejibu. je kaanikwa lipi? niliyejianika ni mimi kwamba I felt the situation but hakuna baya kuhusu yeye. umeliona hapa? pia sikureveal identity kwa mtu huko kungekuwa kuanikwa.... jiongeze mkuu
 
Kiburi kitakupeleka pabaya ole wako. Mwenyewe akiona hii unadhani atapenda? Jua mipaka yako kama doctor.

Confidentiality is considered to be central to the trust between doctors and patients and doctors are held responsible by their professional bodies for protecting personal information that patients share with them.
===
unaendelea na nadhalia. Mwenyewe atapenda nini hapa? umekurupuka na inaonesha hujui nini ethical na nini sio ethical. ni wale ambao mnakariri tu hadi mwishowe mnachoma kuku kwakua mnaona wenzenu wakishika bangi wanachoma... tumia akili yako.
 
Nilikuwa najisikia vibaya kumuona maeneo yake mtu ambaye akiwa mzima hakutaka niyaone. Hili ni sawa ukitakiwa umfanyie operation mama au dada yako. sio kazi rahisi mjue nasi ni binadamu.
Mimi si daktari, ila kwa uelewa wangu huruhusiwi kufanyia upasuaji ndugu yako kama unavyodai hapa.
 
Mimi si daktari, ila kwa uelewa wangu huruhusiwi kufanyia upasuaji ndugu yako kama unavyodai hapa.
===
sio kosa kitaratibu but ikiwa unahisi ugumu ndipo mtu mwingine anafanya. but sio kosa kumhudumia ndugu yako au mzazi wako....
 
===
sio kosa kitaratibu but ikiwa unahisi ugumu ndipo mtu mwingine anafanya. but sio kosa kumhudumia ndugu yako au mzazi wako....
Sijasema ni kosa, ila najua hairuhusiwi kimaadili yenu.
 
Wee utakuwa huna maadili ya kazi yako,navyojua madaktari ethics yao haipo km hivi usemavyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Acha uongo wewe,kama unadhan kutumia jina la dokta humu JF ndo utampata wanawake umejidanganya.

Hakuna dokta asiye na siri kama wewe. Hujui miiko ya kidokta. Usichafue fani za watu
[emoji12] [emoji12] [emoji122] [emoji115] [emoji12]
 
Dokta by wateva u call yourself, you were not supposed to publish even that part of the story to us.haimake sense kwetu maana hamna elimu yyte unaitoa kwetu,na ww huyo mwanamke Kama ni credit officer wa bank x..ukienda kuomba mkopo na yy ndo Ana process na yy akutaje?!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa lazima ulete jf,wewe ni daktar kilaza
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Dokta by wateva u call yourself, you were not supposed to publish even that part of the story to us.haimake sense kwetu maana hamna elimu yyte unaitoa kwetu,na ww huyo mwanamke Kama ni credit officer wa bank x..ukienda kuomba mkopo na yy ndo Ana process na yy akutaje?!
====
hahahahaha endelea na hoja yako. Kumbe unakuja JF kusoma ?. endelea
 
==== acha mihemko mkuu. hapo sijakosa maadili yoyote kwani sijatoa identity ya mgonjwa na wala ugonjwa wake. jitahidi kufikiri kwa ubongo mkuu
Hahahahaaaa hapo mpaka nimewaza unataka kumaanisha jamaa hatumii kichwa kufikiria ila kile kiungo ambacho jamaa mmoja alisema wabunge wa dar wanatumia kufikiria. Kwa hapo mi sijaona kosa la kimaadili ulilolifanya kwa huyo mgonjwa wako
 
Nahisi kwa kusimulia tu kwenye hili jamvi umeenda nje ya maadili, hata kama mgonjwa hatumjui, rethink!!
 
Nadhalia ndiyo nini????? Fuata miiko ya kazi yako au udaktari utaota mbawa. Wengi wamekuonya humu.


===
unaendelea na nadhalia. Mwenyewe atapenda nini hapa? umekurupuka na inaonesha hujui nini ethical na nini sio ethical. ni wale ambao mnakariri tu hadi mwishowe mnachoma kuku kwakua mnaona wenzenu wakishika bangi wanachoma... tumia akili yako.
 
Acha uongo wewe,kama unadhan kutumia jina la dokta humu JF ndo utampata wanawake umejidanganya.

Hakuna dokta asiye na siri kama wewe. Hujui miiko ya kidokta. Usichafue fani za watu
Povu la nini dada
 
Back
Top Bottom