- Thread starter
- #21
====Dr ulikuwa stable psychologically kufanya hiyo operesheni?
sana tu tena naweza kusema ni zaidi kwani sikutaka litokee lolote kisha ionekane ni kwasababu ya historia
====Dr ulikuwa stable psychologically kufanya hiyo operesheni?
Sema hakuna Dr ninayemfahamu asiye na siri!Kuna visharobaro vimekua ma Dr vinaongea upuuzi wakiwa bar hadi unashangaa,kila fani imevamiwa
====Bila shaka hukuiva vizuri kwenye hiyo fani. Kiapo cha utii wa kutunza siri umesahau au hukuapa!
===mawazo mabaya hayo. kwanza tukiwa pale tunakuwa kama team sasa huo muda mtu atapata wapi?Hivi ni kweli hua ,mnatufanya tukiwa nusu kaputi??
Ndio maana nashangaa anavyobisha hakuna Dr wa hivyo!kuna wajinga wengi tu hadi wasomiHawa watoto wa 80s na 90s hawana maadili ya kazi kabisa
Kuna mmoja kila siku akiwa bar anajigamba kwa kutaja wagonjwa wake mbaya zaidi anasema hadi wanachoumwa na wengine wanaishi kitaa hichohicho
Nimekumiss bestnipo ,habari
Ok nakuelewa vyema, ulikuwa more careful kwa some extra miles.====
sana tu tena naweza kusema ni zaidi kwani sikutaka litokee lolote kisha ionekane ni kwasababu ya historia
Ok mkuuhunishindi
==== acha mihemko mkuu. hapo sijakosa maadili yoyote kwani sijatoa identity ya mgonjwa na wala ugonjwa wake. jitahidi kufikiri kwa ubongo mkuuRudi shule kama wewe ni daktari, ukajifunzw maadili ya kazi!
====
Nadhani tunaposema siri ya mgonjwa huijui. hapa sijatoa siri yoyote. Je wewe unamjua mgonjwa au unanijua mimi?
Acha uongo wewe,kama unadhan kutumia jina la dokta humu JF ndo utampata wanawake umejidanganya.
Hakuna dokta asiye na siri kama wewe. Hujui miiko ya kidokta. Usichafue fani za watu