LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,322
- 6,694
- Thread starter
- #181
wamenitoa damu ya mkono mkuu nikaulizwa kama nina mke,umri wangu,na kama nimewahi kupima basi,nikaambiwa nisubirie majibu,na sehemu ya tatu nilienda kuna hivi vituo vya afya kinaitwa UMATI,napo wameniuliza tu maswali hayo hayo then wakanidonoa kidoleni,nikaambiwa nisubiri dk 3,nayo majibu yakawa negative,nimepewa kikadi nimeambiwa nirudi tena tar 7/9 mwaka huu huu...wamekupima na kipimo gani mkuu?
saiv kwa yeyote anayetaka kujua lolote juu ya majibu yangu,anaruhusiwa kuuliza nitayajibu yote kwa ku`refer niliyokutana nayo huko sehemu nilizoenda kupimwa,kwa sasa ni muda wa zoezi so nitajibu usiku nikiwa nimetulia....sorry!
