Nimekwisha na UKIMWI

Nimekwisha na UKIMWI

dah,sasa hili la chanjo si hizi tunazopewa utotoni
Ndio maana yake ni virus vile, ukienda kupima kwa Sasa hupimi virus Bali unaenda kupima kinga...hicho kipimio chenyewe vile Ni virus vikikutana vina react.... viki-react majibu yanatoka positive, lengo ufe akili, maisha ya binadamu yamebebwa na fikra, ukiwa frustrated ujue ndoo kifo chako hicho kumbe huna virus vyovyote vibaya kwako,
 
Basi utakua na kibamia bro, kama ulikua unacharaza nyuzi ipasavyo usingesalimika.
Ataumia sana mumu kama ataona vyenye wanaume wa humu mnavyo msambaratisha ampendae kwa nguvu yenye kasi isiyo tamalaki...
 
Sasa mtu kazaliwa nao mpaka kafikisha hiyo miaka inamaaa CD 4 zake hazishuki tu uongo mwingine bhn mkuu usitumie jazba kausha kwanza mpaka utapopqta utimamu wa akili
 
Kesho utatuambia kama hawajakukuta na maambukizo na mchumba mmeachana!
MMU bana inafurahisha sana
 
Back
Top Bottom