likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,085
Huyo mdada kakuongopea, eti alikuwa hajui? Angesurvive bila ARV?
All the best mkuu,,,usisahau mrejeshoo ila naiman hauwez kuwa nao kwa nguvu za maullanaa InshallahNaandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana, mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji, na mwezi November mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa.
Ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika, nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao.
Nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni, anasema na yeye alikuwa hajui, kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu, mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo, hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?
Kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke, tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe.
Nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa, bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili, nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu, nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko.
Ahsanteni
All the best mkuu,,,usisahau mrejeshoo ila naiman hauwez kuwa nao kwa nguvu za maullanaa InshallahNaandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana, mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji, na mwezi November mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa.
Ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika, nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao.
Nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni, anasema na yeye alikuwa hajui, kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu, mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo, hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?
Kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke, tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe.
Nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa, bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili, nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu, nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko.
Ahsanteni
Mkuu huu si mwisho wa maisha yako Bali ni mwanzo wa maisha mapya. Kupata vvu haimaanishi ni mwisho wa maisha yako na kutopata haimaanishi Upo Salama.Naandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana, mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji, na mwezi November mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa.
Ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika, nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao.
Nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni, anasema na yeye alikuwa hajui, kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu, mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo, hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?
Kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke, tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe.
Nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa, bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili, nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu, nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko.
Ahsanteni
poleee sana kaka ,,
Aaah actually ni kwelly inawezakana mtu akazaliwa na ukimwi ,lakin lazima alie mzaa alikua tayar na maambukiz xo cijui wew umefaham vip km alizaliwa nao?make ujaxema history yoyote kuonexha namna gan alizaliwa nao ,,
Hoja ya msing ni kiini cha !message ako ,,labda niku nasihi kuwa inawezekana ukaixh na mwenye maambukiz usipate maambukiz ingawa watu hao ni wachache ,labda km umo miongoni ,hatujui ,,
pia inawezekan ukawa na maambukiz kwan ni muda mrefu sas umeixh nae ,,
mengineyo ; jitaidin mtoto huyo alie zaliwa asipate maambukiz ingawa uwezekano wa kuwa na maambukiz tayar ni mkubwa kwan mama yake hakuwa kwenye dawa ""
pia km utakua na maambukiz usijal xana kwn inawezekan kuixh na maambukiz miaka yote ila kwa kutumia dawa na kufuata masharti utakayo elekezwa na watoa huduma ,
@ counsellor,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuukama una swali ukitulia uliza tu,napenda kila mtu humu ajue miujiza nilokutana nayo,ushauri pia bado napokea coz najua hapa sijifunzi mimi tu,kuna wenzetu wengi humu,wengine mkiwa wachangiaji na mmeathirika,najua mtakuwa mnanielewa vizuri zaidi,kuna mtu ananishauri nimwambie mwanamke apime tena huenda hana wakati ndio yeye kaniambia anao,nahisi sijaelewa anachojaribu kukimaanisha,binafsi sitaki tena kuyazungumzia hayo mambo na yeye,hapa hapa nasaha zenu zitanifaa na kunijenga zaidi wakuu!
RIP bro
Kwa jibu lolote utakalopewa, AMUA KUYAKAHIDHI MAISHA YAKO KWA YESU, UUPOKEE WOKOVU AMBAO NDIO UZIMA WA MILELE!
remember:AIDS is a demon!
sent from servant of God
